Huyu twimwitaje?

Huyu twimwitaje?

dr luv

Member
Joined
Dec 19, 2011
Posts
23
Reaction score
12
jamaa aliharibikiwa na gari kijijini akapewa hifadhi,baada ya kuoga na kula.MZEE:"sasa huyu mgeni alale wapi?" MKE: "saa hizi ni usiku akalale na bebi tu!"jamaa akakwepa usumbufu wa bebi kukojoa kitandani na kulialia usiku.JAMAA: "msipate tabu mi nitalala hapa kwenye kochi." asubuhi akaibuka mrembo. BINTI:"Naitwa BEBI...we unaitwa nani?" JAMAA:"naitwa BONGE la ---- kumamamae zangu! Kumbe bebi ndio wewe,nimepoteza bonge la bahati...Mi ---- kweli..!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom