Huyu sio bashite kwelii

Aisee Huyu Atakuwa ni Bashite. i wish nngeona mitian yake ya form four alivyokuwa amejibu
 
Fa fa ta fa fa fa fa
yaani miswaki yote "FAFA" afu anajifanya kuongoza watu wenye akili. laana hiyo imeikuta dsm last year imeongoza kufeli kwasababu inaongoza na failures.
 
yaani miswaki yote "FAFA" afu anajifanya kuongoza watu wenye akili. laana hiyo imeikuta dsm last year imeongoza kufeli kwasababu inaongoza na failures.
Hahahahahahah
 
nimecheka kweli. hivi na yule ananyiwa interview kwenye tangazo la halichachi si ni Daudi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…