pasheeeeniduuh..huyu jamaa analinda chumba cha kuhifadhia pesa pale BoT
Lol...taratibu mkuu...kikosi cha kupambana na wizi wa mifugo
...Haaah haaah haaa! hiyo nayo muhimu eh!??Sijui kazi za nyumbani anaweza kweli?
Sijui kazi za nyumbani anaweza kweli?
Hahahahaha!!! Hatari basi..mezani hayo ni mabaki ya ugali ??jamaa inawezekana anafyeka msosi wa watu kumi
Kwa kweli kwa huyu wanahitaji kwenda kufanya further check up vinginevyo it's not healthy kabisaHuyu ni mgonjwa....Hakuna shaka yoyote.
Hata hivyo tatizo lake ni kubwa na gumu kulipatia ufumbuzi kwani sina hakika kama hospitali zetu zinaweza kumfanyia operation ya kupunguza tumbo na kuondoa baadhi ya mafuta (minyama uzembe)!!
Babu DC!!
Nafikiri wanachofanya ni kuondoa yale mafuta..Hivi hakuna operation ya kupunguza kitambi?? hii sasa karaha na sidhani kama ana mke
Kwa kweli kwa huyu wanahitaji kwenda kufanya further check up vinginevyo it's not healthy kabisa
Nafikiri wanachofanya ni kuondoa yale mafuta..
huyu ana kazi kubwa sana kufunga kamba za viatu vyake