Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,971
- 10,465
Hayo ndiyo matatizo ya kupiga kura kwa mazoea. kwa nini tusiwalaumu pia waliompeleka huko bungeni?
Sidhani kama ni rahisi kuwalaumu waliompigia kura. Una uhakika gani na tume ya uchakachuzi tuliyonayo?