Miss Halima
JF-Expert Member
- Aug 4, 2026
- 327
- 716
Mwamuzi wa kimataifa Michael Oliver ameteuliwa rasmi kuwa mwamuzi wa kati (Pilato) kwenye mtanange mkali wa Manchester Derby kati ya Manchester United na Manchester City.
Pambano hilo la kwanza la dabi ya Manchester kwa msimu wa 2026/2027 litapigwa siku ya Jumapili, Septemba 13, 2026, katika dimba la Old Trafford majira ya saa 18:30 EAT.
Pambano hilo la kwanza la dabi ya Manchester kwa msimu wa 2026/2027 litapigwa siku ya Jumapili, Septemba 13, 2026, katika dimba la Old Trafford majira ya saa 18:30 EAT.