Huyu rais wetu vipi?

Ningeomba Tutafakari kwa Kina Speech hii ya bwana Mkapa wakati anapokea Tuzo ya TASWA

Akizungumza baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo, Mkapa alisema siku alipopewa barua ya mwaliko wa sherehe hiyo na pia maelezo kwamba atatunukiwa tuzo ya heshima, alipatwa na mshtuko.
Mkapa alisema mshtuko huo ulitokana na ukweli kwamba, wakati wa utawala wake, hakuwa kuhudhuria mechi yoyote ama kufanya harakati za kusukumuma shughuli za michezo.
"Lakini maelezo yake yalikuwa hivi, nyote mnakumbuka zama zile za ukapa. Waswahili wanasema, kupanga ni kuchagua. Wakati ule wa ukapa niliamua kuweka mkazo katika kukusanya kodi ili serikali iweze kutumia kile ilichonacho kujiendesha na baadaye kupigania kupata misamaha ya madeni," alisema Mkapa huku akishangiliwa kwa mayowe mengi.
 
god godssss, people 4 peoples 2 peoples,live life long!no FOOD PROBLEMA,NO DISEASE, NO POVERTY, NO ONE WIL die more. this is tanzania bana kuna wapambe - wapambaji na waonaji-wasemaji. wengi hatusemi ukweli ni washabiki tuuuu wa upande mmoja,au mwingine, JAMANI ONGEENI UKWELI ACHENI UNAFIKI WA UCHADEMA NA UCCM, hapo mtalisaidia taifa kuwa salama,TO MAKE SURE UR COUNTRY IS SAFE AND IN SECURITY IN ECONOMIC,POLITICAL,SOCIAL,EDUCATIONAL, IN HEALTH,IN FOOD MANAGEMENT(NO FAMINE), POVERTY MANAGEMENT ETC, THATS the meaning of national security si kutembea na bastola viunoni na kuwatisha au kuwauwa wasema ukweli" kumbukeni wakati yesu akiingia yerusalem aliwaambia mayahudi, "mkiwakataza watu hawa wasinishangilie basi mjue hata mawe haya yatanishangilia"
 
Pipo acheni kuandika pumba!!!

Semina ni muhimu kwa viongozi kama team lazima muwe na wakati wa pamoja hata kwenye mpira kuna mapumziko wachezaji wanatumia ku re-group.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, whats wrong with kuhudhuria mazishi?

Wrong is hakutumia pesa yake kwenda kwenye hayo mazishi........hiyo semina elekezi ya nini wakati kuna cabinet meetings kila wiki?
 
Mimi ni mtumishi wa serikali, nilipata msharhara wa mwezi wa nne tarehe 7 may balada ya tarehe 28-30/April. Hii ni dalili kuwa serikali ilikuwa imeishiwa na kukopa. Kama unataka
data zingine sema tukupe na siyo kukurupuka kama watu wa chama cha magamba.
<br />
<br />


Bila shaka utakuwa miongoni mwa wale wanaokula mishahara hewa.Nadhani walikuretain ili kuhakikisha kama kweli wewe ni Nyamagaro Julius.
 
Matatizo ya KIONGOZI wetu ni makubwa saaana!!! MIracle ndiyo inaweza kumbadili....I suggest KIKOMBE kwa BABU LOLIONDO kama 1st remedy....Ikishindikana basi tukubali miaka minne (4) ijayo ya kuendelea kulia na kusaga meno!! MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
nimekaa nchi za wenye akili sijawahi sikia waziri mkuu au rais akiitisha semina elekezi.
kwanza za nini? kiongozi anatakiwa awajibike na pale anaposhindwa kuwajibika anawajibishwa
mara moja ikiwa ni pamoja na kuwachishwa kazi.Sasa semina elekezi manake anakiri aliowachagua
ni bongo lala au wazembe hivo anawabembeleza wazidi kuwa wazembe wakijua watakumbushwa
tena huku wakineemeka na allowance kibao,hoteli nzuri nk huu ni upeo mdogo wa viongozi wetu tukianzia
na elieitisha semina yenyewe. Nchi zilizoendelea hakuna kitu kama hiki.Kwanini msemaji wa ikulu asiwe msemaji
kwa kutoa tamko kwneye vyombo vya habari kuwakumbusha wajibu wao kuliko kupoteza hela za walipa kodi?
Hivi inaingia akilini kweli kwa ishu kama hii??? agrrrrrrrrrrrrrrrr Tanzania yetu ehhhh Tanzania imepoteza dira.
namshangaa anaeshabikia hii semina elekezi yetu macho kama kuna kitakachofanika baada ya hapo.WE need active thinkers to lead us jamani.
 
Pipo acheni kuandika pumba!!!

Semina ni muhimu kwa viongozi kama team lazima muwe na wakati wa pamoja hata kwenye mpira kuna mapumziko wachezaji wanatumia ku re-group.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, whats wrong with kuhudhuria mazishi?

Hivi wewe mtoto akikosea unampeleka kempski kumwelekeza cha kufanya, au mke wako akikukosea unampeleka movenpic ndo ukamwonye, au hous girl wako akikosea kufanya kazi vizuri unampeleka AICC ukamwonye, acheni anasa za kufaidishana wenyewe kwa wenyewe unajua ingharimu shillingi ngapi za tanzania kumweke mtu mmoja kenye hiyo semina kwa siku, je misharaha isingelipwa, je hospitali zisingepata vitanda, je na je na je...

Ni dhambi kwa nchi kuzalisha watu walio softminded kama wewe!
 
Pipo acheni kuandika pumba!!!

Semina ni muhimu kwa viongozi kama team lazima muwe na wakati wa pamoja hata kwenye mpira kuna mapumziko wachezaji wanatumia ku re-group.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, whats wrong with kuhudhuria mazishi?

weye kweli kipofu wa mawazo,aliwateuaje bila kujua uwezo wao?au ndo mjini twaishi kimjin mjin?badilika dogo acha mawazo mgando.
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hakuna anaebwabwaja hapa sote tuwe tunaangalia kotekote,Jk alipokuwa akizitembelea wizara mbalimbali hivi majuzi na kuongea na mawaziri husika haikutosha?mpaka akaandae semina elekezi"huo si ufujaji wa pesa za walipa kodi masikini(wananchi)?Nani anaebwabwaja Kama sio wewe!!.

Kwani huko kwenye cabinet meetings huwa wanafanyaga nini? Kama akiongea na mawaziri wake na wakashindwa kuongza wizara zao akiwapeleka semina ndo itasaidia? I think sometimes anajiona yuko idle na hana cha kufanya so ili aonekane kwamba anafanya kazi basi na media imwone kweli yuko bussy anakuja na mawazo kama hayo. Mmh semina wakati kuna ILANI ya uchaguzi kuna development vision kuna policies in place alafu seminar for what use; afadhali hata angesema wanafanya evaluation ya waliyoweza ku implement for the period waliokaa katika uongozi tangu wachaguliwe 2010 na wapi wameshindwa kwanini na how to go about with what is remaining na hii ilitakiwa iwe agenda ya cabinet meeting as part of theirJB na siyo kutumia fedha wakati wa dhiki hii ya dunia kufanya mambo ambayo yako so obvious.
 
ama kweeeli nchi inaliwa................kweli sasa naaamini kuna WANANCHI na WENYE NCHI

Mwacheni Rais amalize mda wake jamani... afu tumpe mwingine miaka yake 10...atafuuunneeeee.. basi.. Tuendelee tu piga kelele zisizo na maana.. Aafu hata kura hampigii.. Mwabwata tu hapa JF
 
Naomba kuuliza, kuna ubaya gani kiongozi kukaa na team yake kufanya SWORT ANALYSIS?
 
Hivi kuhudhuria mazishi ya mzazi wa spika kuna nongwa gani? Baadhi yetu tuna fitna za kitoto.

Kwa hili hata mimi natofautiana na mtoa mada kiongozi wetu ana haki na ni mtu mwenye roho kushiriki katika mambo ya kijamii hasa misiba japo ana tatizo dogo la kutokujua nchi inapata misiba mingi mahosptalini kutokana na huduma mbovu.
 
Hivi kuhudhuria mazishi ya mzazi wa spika kuna nongwa gani? Baadhi yetu tuna fitna za kitoto.

ndugu cjui uelewa wetu ndo umekamatwa? Rais na msaidizi wake hawapaswi kwenda sehemu moja wameongoza hasa ktk masuala yasiyo ya kitaifa. Jamaa yu sahihi hata kama haitowapendeza wengi,PM NA jk kwenda pamoja no no!
 
Naomba kuuliza, kuna ubaya gani kiongozi kukaa na team yake kufanya SWORT ANALYSIS?

dah! Jaman kusoma kuzuri,kumbe hata SWOT inapply hata kwa gvt? Na zile 5P?product,price,promo,place etc. Mh hapa naona umechanganya sumu. Unatumia panya kuua sumu! Marketing tools ndo zatumika huku ,govt aya SWOT .
 
Pipo acheni kuandika pumba!!!

Semina ni muhimu kwa viongozi kama team lazima muwe na wakati wa pamoja hata kwenye mpira kuna mapumziko wachezaji wanatumia ku re-group.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, whats wrong with kuhudhuria mazishi?

Actually makapi ndio haya unayosema wewe!!!!! Tangu hizi seminar zianze kufanyika kuna kitu gani kimefanyika zaidi ya kupanga njama tu za kuzidi kutuibia????
 
Semeni elekezi, tafadhali mshika mpini nielekeze wapi nikate nofu la kula na mke na watoto wangu. Kama wewe wajua kuwa mi sina muda wa kuwajibika na wewe mwenyewe umeendelea kuniachia pande hili, ni nani mwingine wa kuleta fyokofyoko; ebu bwabwaja ukimaliza waru tukachome nyama na moja baridi moja moto. Usiku tunaomba pasiwepo na huu usemaji elekezi, manake tunahamu ya kupata vibinti vya huu mji mkuu wa makaburi ya wakuu ili tukajirushe.

Samahani mkuu wangu wa kazi, hivi uliwahi kusema:
wauza madawa ya kulevya unawafahamu;
wala rushwa unawafahamu;
wazembe pale bandarini unawafahamu;
wanaoiibia serikali na kupoteza mapato ya serikali pale TRA majina unayo;
na mengine mengi.
Hivi ulifanya ni nini?
Anyway, natumai nasi itabidi tutekeleze haya uliyotuambia kama naye ulivyotekelez hayo mambo unayoyafahamu hapo juu.
Mkuu nicheko - kwi kwi kwi, ndiyo Bwn tena umenikumbusha, siku nikipata nafasi au nitaliweka kwenye hotuba ya mwisho wa mwezi huu; nitasema hivi- wale wanaohitwa magamba ndani ya ccm ninawafahamu, nimewapa muda wajirekebishe. Tehe tehe teheeee
 
Huyooo yuko Uswisi kwa mkutano ambao hata Katibu Mkuu wa Wizara angeweza kabisa!
 
Pipo acheni kuandika pumba!!!

Semina ni muhimu kwa viongozi kama team lazima muwe na wakati wa pamoja hata kwenye mpira kuna mapumziko wachezaji wanatumia ku re-group.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, whats wrong with kuhudhuria mazishi?
Pengine hujui rais na waziri mkuu wanaandamana na watu wangapi katika safari zao na wote wale wanalipwa marupurupu ya safari. That's my point Bro.
 
Hivi kuhudhuria mazishi ya mzazi wa spika kuna nongwa gani? Baadhi yetu tuna fitna za kitoto.

Kuwa mgeni hapa jamvini hakukunyimi nafasi ya kusoma thread kwa makini kabla hujakurupuka na kuponda wenzio kwa kutokuelewa kwako. Kinachozungumziwa hapo juu ni matumizi makubwa pasipo sababu za msingi na mbaya zaidi katika kipindi hiki cha ukata. Grow up Mama's Boy!
 
Pipo acheni kuandika pumba!!!

Semina ni muhimu kwa viongozi kama team lazima muwe na wakati wa pamoja hata kwenye mpira kuna mapumziko wachezaji wanatumia ku re-group.

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, whats wrong with kuhudhuria mazishi?

Yani mpaka leo wewe unaona hizo semina zina tija kwa maendeleo ya nchi hii? Kweli semina ni muhimu lakini sio hizi za JK na wasaidizi wake...Tufanye assessment kwa zile semina elekezi kule Ngudoto 2009 zilileta manufaa gani kwa taifa? Nadhani huko wanapena mbinu za kutuibia zaidi na si vinginevyo.........
 
Back
Top Bottom