huyu RAFIKI vipi?

huyu RAFIKI vipi?

Chemwali

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2011
Posts
397
Reaction score
178
Hivi jamani unamuelewaje rafiki yako wa namna hii ambaye anakukuta na mume/mkeo na katika story lazima akupe ya kukuumiza kukuabisha mfano..hahah shemeji kweli umefanikiwa sasa hivi kumshika rafiki yangu so sasa ni si yule itabidi nami nioe niache uhuni na anamalizia na kicheko hahahah...mara unajua kwa kuwa sikuwepo siamini kabisa kama ulifunga na ndoa isije kuwa ni pilau tu imeliwa kama ileee unakumbuka tulipoenda kujitambulisha loh tungepata laana sisi hahah kweli tumetulia sasa hahahah kicheko tena..
 
Hivi jamani unamuelewaje rafiki yako wa namna hii ambaye anakukuta na mume/mkeo na katika story lazima akupe ya kukuumiza kukuabisha mfano..hahah shemeji kweli umefanikiwa sasa hivi kumshika rafiki yangu so sasa ni si yule itabidi nami nioe niache uhuni na anamalizia na kicheko hahahah...mara unajua kwa kuwa sikuwepo siamini kabisa kama ulifunga na ndoa isije kuwa ni pilau tu imeliwa kama ileee unakumbuka tulipoenda kujitambulisha loh tungepata laana sisi hahah kweli tumetulia sasa hahahah kicheko tena..
Ngoja nisome tena na tena labda nitaelewa.
 
Huyo ndo safi sana, tena waweza mwachia mkeo ukaenda masomoni kwa Obama.
 
Marafiki wengine ni majanga kweli. Hata mimi naona bora kumuambia hupendezwi na hicho anachokufanyia . Funguka sema nae, mpe makavu
 
Hivi jamani unamuelewaje rafiki yako wa namna hii ambaye anakukuta na mume/mkeo na katika story lazima akupe ya kukuumiza kukuabisha mfano..hahah shemeji kweli umefanikiwa sasa hivi kumshika rafiki yangu so sasa ni si yule itabidi nami nioe niache uhuni na anamalizia na kicheko hahahah...mara unajua kwa kuwa sikuwepo siamini kabisa kama ulifunga na ndoa isije kuwa ni pilau tu imeliwa kama ileee unakumbuka tulipoenda kujitambulisha loh tungepata laana sisi hahah kweli tumetulia sasa hahahah kicheko tena..

hakuna comma wala full stop....nimejaribu kuielewa. Someone transcribe please!!
 
unamchana live kwamba hupendi tabia yake
ya nini kufuga maradhi

Na kweli mirafiki ya sampuli hiyo isiyokuwa na manners 'unaichanilia' mbali tena live hapo hapo tu. Na si habari ya kuleta mzaha mbele ya mkeo tu hata akikukuta kwenye kampani ya watu asiowafahamu hana ruksa kuleta utani au maujiko ya kibw*ge bweg*
Akitaka kuleta hadithi zake anisubiri tukikutana tukiwa wenyewe hukooo...'Uje Tena Bar'🙂 Marafiki wa sampuli hii ni kuwapiga 'Non granta' nyumbani kwako na unawa tengenezea mazingira kuwa mwisho wao ni getini tu🙂
 
Na kweli mirafiki ya sampuli hiyo isiyokuwa na manners 'unaichanilia' mbali tena live hapo hapo tu. Na si habari ya kuleta mzaha mbele ya mkeo tu hata akikukuta kwenye kampani ya watu asiowafahamu hana ruksa kuleta utani au maujiko ya kibw*ge bweg*
Akitaka kuleta hadithi zake anisubiri tukikutana tukiwa wenyewe hukooo...'Uje Tena Bar'🙂 Marafiki wa sampuli hii ni kuwapiga 'Non granta' nyumbani kwako na unawa tengenezea mazingira kuwa mwisho wao ni getini tu🙂

Thanks bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom