Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,203
- 85,311
Mhhhhh....Atakuwa ni yeye kuna siku nilimuona Bundesliga Bar usiku wa saa nne hivi amekaa pekeyake kwenye kiti anakula chakula na kunywa kinywaji alivomaliza akaondoka pekeyake.
Mhhhhh....Atakuwa ni yeye kuna siku nilimuona Bundesliga Bar usiku wa saa nne hivi amekaa pekeyake kwenye kiti anakula chakula na kunywa kinywaji alivomaliza akaondoka pekeyake.
Mhhhhh....
Ulitaka aondoke na nani?Atakuwa ni yeye kuna siku nilimuona Bundesliga Bar usiku wa saa nne hivi amekaa pekeyake kwenye kiti anakula chakula na kunywa kinywaji alivomaliza akaondoka pekeyake.
Mie nakusibiri tukesheeJirani una shida gani na mimi? Karibu tukeshe
Alistafuu kwa hiyari acha uongoHivi baada ya kutoka u Rc wa Dar alienda Mbeya! Na huko aliko Anna Mgwira si ndiko alikositishiwa ukuu wa mkoa?
Unashangaa mtu kumuona nyumbani kwao?
Binti kiziwa, ulikuwa unafanya nini bunde, lile ni chimbo la vibakaAtakuwa ni yeye kuna siku nilimuona Bundesliga Bar usiku wa saa nne hivi amekaa pekeyake kwenye kiti anakula chakula na kunywa kinywaji alivomaliza akaondoka pekeyake.
Tangu astaafu ukuu wa mkoa wa Mbeya sijawahi msikia tena Mzee Said Meck Sadick
Hapa Mwanza namwona Mzee kafanana sana na Meck Sadick anaendesha gari aina ya Benz la dark blue
Naomba kujuzwa kama ni yeye au nimemfananisha?
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
Sasa na wewe kwa akili yako unadhani samaki watafugiwa wapi?kungekua kuna sehemu ya kudelete ningefuta huu utumbo wako aise unajibu wakati sijakuuliza wewe.
Nimekupa like ili na wewe ujione ulivyo na akili kidogo maana unazidi kuendeleza utumbo kweli vijana siku hizi shule mnaenda kusomea ujinga.Sasa na wewe kwa akili yako unadhani samaki watafugiwa wapi?
Kinywaji gani alichokunywa mkuu, haikuwa Konyagi kweliMhhhhh....
Wewe ndie uliemuona halfu unatuuliza sis?Naomba kujuzwa kama ni yeye au nimemfananisha?
Ana mradi wa mabwawa ya samaki kule ng'ambo ya kivuko..Kamangando yeye,Mara nying anaonekana akivuka kwenye maferry pale kamanga
Utoto!!Tangu astaafu ukuu wa mkoa wa Mbeya sijawahi msikia tena Mzee Said Meck Sadick
Hapa Mwanza namwona Mzee kafanana sana na Meck Sadick anaendesha gari aina ya Benz la dark blue
Naomba kujuzwa kama ni yeye au nimemfananisha?
Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app