Ukiwa mwanasiasa hasa wa malengo makubwa Kanzu na kibaraghashia ni muhimu kuwa kabatini.Asilimia 98 ya wanasiasa wa juu
tanzania wana vifaa hivi yakhe.
wewe Kimbunga unaweka picha ya mwana Afrika, mwana mapinduzi Sankara halafu unasapoti viongozi waroho wa madaraka na wasio safi kama Lowassa, utakua huna uzalendo wa kweli.
Usanii wake na tamaa zake hizi za uongozi zitampeleka kaburini kwa uongozi hauwezi zaidi ya jasba na njama za kulisha watu sumu.Anayeua kwa upanga atakufa kwa upanga.