Huyu ni nani ?

Huyu ni nani ?

Huyu dada ni mwafrika kusini, jina lake nimelisahau kidogo. Huko SA huyu dada ni Celeb kama ilivyo kwa Nick Vujicic. Shughuli yake kubwa ni kumotivate watu waliokata tamaa na maisha.

Juzi kama siku 3 alisheherekea birthday yake ya kutimiza miaka 18, Jacob Zumma ambae pia ni rafiko wake wa karibu alituma zawadi.

Alipata ugonjwa unaoitwa Progelia, yani mtoto anashindwa kumature, umri unatembea lkn anabaki kukomaa tu. Madaktari walitabiri hatovuka miaka 14, lkn bado anadunda tu.

Pia kuna kautani kalisambaaga kua huyu ni VmoneyRappa.
 
Back
Top Bottom