Chadema hapa walikurupuka kumpokea huyu ni parasite amepandikizwa ndani ya chadema
Na kuna mwingine aanatamka hadharani kuwa alipotaka kuoa alikutana na mwanamke hana mvuto.akamwambia " labda huyo mwanamke amtolee mahali lakini ndipo angeweza muoa"
Ninawasiwasi na hawa watu tulio watuma mjengoni.
Huyu ndiye muwakilishi wa watu wote anaanza kutoa maneno ya kashfa kwa watu.
CDM-JF, mbona mnakuwa wabaguzi? Humu kuna kambi ya Mbowe, kuna kambi ya a loser Dr Slaa, kuna kambi ya Lema, sijaona kambi ya John Shibuda, kila anachokisema mnampinga tu wakati kachangie CDM kupata Ruzuku, ebu achane kumnyanyapaa kama mtoto yatima au kasababu ajatoka Kaskazini
Chadema hapa walikurupuka kumpokea huyu ni parasite amepandikizwa ndani ya chadema
Ushaambiwa ni mbunge wa CCM, chadema ameazimwa tu kwa muda,Soon atarudi alipotokaHuyu ni Mbunge wa Maswa Magharibi kwa Ticket ya CHADEMA, anaitwa JOHN SHIBUDA.Hii ndiyo Chadema.
Najua huyu anatafutwa na cdm siku atakapoingia kwenye mtego vizuri hapo ndo mwisho wake. Naakumbuke waliomchagua ni wasukuma ambao hawataki kusikia habari za magamba sijui ataenda wapi. Huko wanamagamba hata sale zao huvalia kwenye kikao na sio hadharani.
Mimi naamini akitemwa na CDM hataweza kurejea na hili analijua na yuko makini hapo ila ipo siku atatelezea mojakwamoja shimoni.