Moja kwa moja kwenya mada tajwa, nina ndugu yangu kiumri ananizidi, ni kaka yangu ki ukoo, mtoto wa baba mkubwa, baba zetu wana changia baba (babu yetu) mmoja mama tofauti.
Anaishi nje kidogo ya mji ninapoishi mimi (mjini). Sasa imekuwa ni kawaida yake kufika kwangu, leo mara ya 3 anafika saa 3 usiku bila taarifa yoyote na anaondoka saa 12 asubuhi. Huyu ndugu kiukweli amekuwa ni kero kwangu, kwa vile amekuwa akifika hapa kwangu bila taarifa na vile vile hasemi shida inayomleta, siyo kwamba sipendi wageni kwangu.
Anaishi nje kidogo ya mji ninapoishi mimi (mjini). Sasa imekuwa ni kawaida yake kufika kwangu, leo mara ya 3 anafika saa 3 usiku bila taarifa yoyote na anaondoka saa 12 asubuhi. Huyu ndugu kiukweli amekuwa ni kero kwangu, kwa vile amekuwa akifika hapa kwangu bila taarifa na vile vile hasemi shida inayomleta, siyo kwamba sipendi wageni kwangu.