Powerful massage
Wee acha tuNamuelewa sana TAL, shida ni hao wananchi anaowapigania sasa lol, ukiwakuta huko club wanavyocheza amapiano hata habari hawana.
Hakimu ukute ana mambo mengi yanayomsongasonga asitoe uamuzi.Wakili mkuu wa serikali ANAZUNGUKAZUNGUKA tu,anasubiri maelekezo ya nini aseme.Teknolojia itawafanya wajisikie vibaya sana miaka ijayo.
Anatamani angemwambia Lissu nini kinamfanya asitoe uamuzi,kwani Lissu anasisitiza kabisa kua hii kesi ni ya kutengeneza tu,na hakimu anajua ni ya kutengeneza,wakili mkuu wa serikali naye anajua kua ni ya kutengeneza ila hana jinsi.Maelekezo ni mabaya sana.Wakili mkuu anaonekana mjingamjinga ili kuwafurahisha watawala,hakimu pia anaonekana FALA kwasababu ya influence ya watawala.Hakimu anapata wakati mgumu sana kumbuka dhamira inamshtaki kila anapoona anavunja haki makusudi ili awafurahishe mabwana walipaji!
Kazi ya kutumwa mbaya sana na hasa kama inahusu hisia za binadamu wenzako unaoona kabisa huwatendei haki kwa kuwa kuna mtu kakutuma!
Huyu hata akimtaka mke wangu namwachia maana sio kwa ujasiri huu.
Hakimu afanye kazi yake bila kumwangalia wakili wa serikali... wanapuyanga tu, kila siku ahilisho, ahilisho, ahilisho... Sasa umma tumekwisha jua kwamba ni halimu ndio magumashi... hata kitu kilicho wazi, hawezi kukitolea maamuzi... ni suala la kusema, " naifuta kesi hii, mkiwa tayari mkamateni tena na mleteni hapa tuendelee"... au akishindwa hilo, ni kutoa amri for contempt of court kwa mawakili wa serikali kutotimiza matakwa au amri ya mahakama na kuwapa adhabu ya kwenda gerezani siku sawa alizokaa tundu Lissu... huu mchezo wa ahirisho wakauonje huko gerezaniAnatamani angemwambia Lissu nini kinamfanya asitoe uamuzi,kwani Lissu anasisitiza kabisa kua hii kesi ni ya kutengeneza tu,na hakimu anajua ni ya kutengeneza,wakili mkuu wa serikali naye anajua kua ni ya kutengeneza ila hana jinsi.Maelekezo ni mabaya sana.Wakili mkuu anaonekana mjingamjinga ili kuwafurahisha watawala,hakimu pia anaonekana FALA kwasababu ya influence ya watawala.
Kweli Simba wa kizazi hiki!
Hahahahaa! nakuunga mkono.Hakimu afanye kazi yake bila kumwangalia wakili wa serikali... wanapuyanga tu, kila siku ahilisho, ahilisho, ahilisho... Sasa umma tumekwisha jua kwamba ni halimu ndio magumashi... hata kitu kilicho wazi, hawezi kukitolea maamuzi... ni suala la kusema, " naifuta kesi hii, mkiwa tayari mkamateni tena na mleteni hapa tuendelee"... au akishindwa hilo, ni kutoa amri for contempt of court kwa mawakili wa serikali kutotimiza matakwa au amri ya mahakama na kuwapa adhabu ya kwenda gerezani siku sawa alizokaa tundu Lissu... huu mchezo wa ahirisho wakauonje huko gerezani