Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,176
hili halizai la maonyesho tu
Hzo tafif zmefika had hku kwetu ????View attachment 440686
Huyu ni ng'ombe mkubwa zaidi duniani mwenye urefu wa mita 1.95 na uzito wa zaidi ya tani 1.anaitwa Danniel na anaishi Eureka, Marekani
Kila siku anakula paundi 100 za nyasi, paundi 15 za nafaka, galoni 100 za maji na kutoa paundi 150 za kinyesi.
Hahahaha, eti pembe nzito kuliko ng'ombe.Huo ndio ufugaji wa kisasa. Sio wale wa kimasai pembe nzito kuliko ng'ombe mwenyewe; kazi kuzurura nchi nzima toka Longido hadi Rufiji wao tu uharibifu kila mahali na social instability.
ehe!
Kila kizuri huwa si kinatoka kwa wazungu tu hata wenye umri mkubwa duniani utasikia ni kibibi cha kicanada sijui kina miaka 118 wakati downtown matumbo kuna bibi anagonga 127 hukolini walitembea dunia nzima na kufanya utafiti na kugundua huyo ng'ombe ndio mkubwa kuzidi wote
We jamaa noma sana, una maneno kama kiwete,Huo ndio ufugaji wa kisasa. Sio wale wa kimasai pembe nzito kuliko ng'ombe mwenyewe; kazi kuzurura nchi nzima toka Longido hadi Rufiji wao tu uharibifu kila mahali na social instability.
heee, vavooooooo, ulipotelea wapi aisee! siku nyingi sijakuona hapa JF! habari za miezi kadhaa? uko njema? karibu sana nimefurahi kuona comment yako nkoiUnashangaa ng'ombe kuwa na pembe nzito kuliko na wanazurura ovyo!
Halafu nahisi anakunya kistaarabu kama binadamu maana banda lake halijafuka ingekuwa wale wa kwetu hao watu wangekosa ht pa kukanyanga.Jike... yaani anachukunya ni kingi mno kuliko anachukula
heee, vavooooooo, ulipotelea wapi aisee! siku nyingi sijakuona hapa JF! habari za miezi kadhaa? uko njema? karibu sana nimefurahi kuona comment yako nkoi
alaaa safi sana, karibu tupoooooNipo, nilikuwa buys na harusi!
Teh teh teh..... Umefanya nicheke kwasauti. Pembe nzito kuliko Ng'ombe mwenyewe.Huo ndio ufugaji wa kisasa. Sio wale wa kimasai pembe nzito kuliko ng'ombe mwenyewe; kazi kuzurura nchi nzima toka Longido hadi Rufiji wao tu uharibifu kila mahali na social instability.
wewe jamaa umenifanya nicheke mpaka nimepaliwa! lolHuo ndio ufugaji wa kisasa. Sio wale wa kimasai pembe nzito kuliko ng'ombe mwenyewe; kazi kuzurura nchi nzima toka Longido hadi Rufiji wao tu uharibifu kila mahali na social instability.
Hapo jumlisha na maji. Kwakua kinyesi chake huwa teketeke.Jike... yaani anachukunya ni kingi mno kuliko anachukula
Bila kusahau kuwa wanaamini "Land belong to no one" Kwahiyo Haiingi akilini kwa mtu flani kusema hii ardhi ni yangu au ya flani.Lakini akina Ole wanaongoza kwa social instability kila wanakopita - Morogoro, Rufiji, Tanga, na maeneo mengine mengi. Ukisikia vurugu za wafugaji na wakulima hapo lazima mmasai yumo - msukuma na makabila mengine sio kivile kama hao jamaa.
Alinisimulia babu mmoja wa kimaasai kwamba maasai kwa imani zao za asili kabisa wanaamini ng'ombe, mbuzi, na kondoo ni kwa ajili yao tu; haiwaingii akilini eti kuna makabila mengine yanapaswa kumiliki hiyo kitu.
Dah. Hilo nalo tatizo. Sina hakika kama wadau kuanzia Serikali wanafahamu hizi imani kali. Bila kuondoa chanzo (imani zao hizi) migogoro haitaisha.Hapo jumlisha na maji. Kwakua kinyesi chake huwa teketeke.
Bila kusahau kuwa wanaamini "Land belong to no one" Kwahiyo Haiingi akilini kwa mtu flani kusema hii ardhi ni yangu au ya flani.
Pale Kongwa wapo wa Kilo 670.Tani hizo hawezi kufunikwa na wale wa pale naco kongwa kweli
Lakini akina Ole wanaongoza kwa social instability kila wanakopita - Morogoro, Rufiji, Tanga, na maeneo mengine mengi. Ukisikia vurugu za wafugaji na wakulima hapo lazima mmasai yumo - msukuma na makabila mengine sio kivile kama hao jamaa.
Alinisimulia babu mmoja wa kimaasai kwamba maasai kwa imani zao za asili kabisa wanaamini ng'ombe, mbuzi, na kondoo ni kwa ajili yao tu; haiwaingii akilini eti kuna makabila mengine yanapaswa kumiliki hiyo kitu.
Hapo kwenye red; kinachozungumziwa hapa sio "mgogoro wa wakulima" kama unavyotaka kupindisha bali migogoro ya wafugaji (maasai) kwa upande mmoja na wakulima kwa upande mwingine.Wao kumiliki ng'ombe wote wa dunia inahusiana vipi na mgogoro wa wakulima? ni kweli ng'ombe wote wa dunia hii wa masai, pia ardhi yote ni malisho ya ng'ombe, wakulima ndio waliokuja kulima maeneo ya malisho ya ng'ombe.