Huyu ndiye Mwanamke nimtakaye...

Huyu ndiye Mwanamke nimtakaye...

Mama mkwe shikamoo,
Nikiwa mtu mzima na familia yangu,
Nipo naelekeza vijana namna ya kupendana kwa dhati!
Hajambo bamdogo Daby?
Haha acha kuzuga ole wako nikusikie unazengea vibinti..baba yako mdogo anazingua sana bora nitafute mtu mzima mwenzangu
 
Haha acha kuzuga ole wako nikusikie unazengea vibinti..baba yako mdogo anazingua sana bora nitafute mtu mzima mwenzangu
Nampenda sana mwanao, hatujawahi kuzinguana kama wanavyozingua baba zetu hao. Wakiendelea kukusumbua mkwe uje ukae kwetu, tutakupokea na kukutunza vema kadri utakavyo. Utapata "kila kitu"
 
Nampenda sana mwanao, hatujawahi kuzinguana kama wanavyozingua baba zetu hao. Wakiendelea kukusumbua mkwe uje ukae kwetu, tutakupokea na kukutunza vema kadri utakavyo. Utapata "kila kitu"
Una hakika nitapata KILA KITU?
 
Back
Top Bottom