donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,040
- 21,513
Indica hiyoHiyo ndo cannabis sativum au cannabis indica
Hatariwozaaah
Hahahah mkuu utakua umekula dry wewe sio mixerMwalimu kashasha hio kitaalamu tunaita,
STIMU ZIMELIPIWA
Hapo ni kifuatacho ni kuichoma moto kama nyungu na unajifukiza kabisa
Swaaaaafiiii unaukua umefika heaven kwenye kikao Cha Shetani na sir God
Wakijadili ongezeko la Kodi kwenye miamala ya
Mwiguluiza Nchembazimana of Burundi!
Nadanganya wadau?