Wizi na dhuluma havichangamani na uzalendoKweli au???? Uzalendo wako uliuacha wapi?? Hata kama anatudai lakini usifikie mahali pa kumuombea baraka.
Jiwe anaweza kumtuma Bashite afanye mambo ili mkulima ashushwe mshipa akija mahakamani avae kanzu au msuli!Huyu mkulima tukimkamata ataozea jela
Msipindishe, ni akina Lema ndio wanaotumia jina lake ili wapate ngawiraYule mkulima maarufu anaye tunyima raha kwa sasa Mr Hermanus Steyn ndiyo huyu hapa chini.
Kwa sura anaonekana ni mtu muungwana sana.
Lkn kumbe ni mjanja mjanja. View attachment 1272554
Ndugu yangu muwekezaji hawezi kutoka mbali kuja hapa bila kuwa mjanja wa kutengeneza pesa kwa faida.Yule mkulima maarufu anaye tunyima raha kwa sasa Mr Hermanus Steyn ndiyo huyu hapa chini.
Kwa sura anaonekana ni mtu muungwana sana.
Lkn kumbe ni mjanja mjanja. View attachment 1272554
Hivi wewe umewahi kudai au kudaiwa?Msipindishe, ni akina Lema ndio wanaotumia jina lake ili wapate ngawira
Ulikuwa na maana ambayo ni kinyume ya hii!Unamjua nyoka anaitwa black mamba? nadhani ni moja ya nyoka wapole sana na wasiotaka makuu, ila ukiingia kwenye anga zake probability ya wewe kupona ni 99.99%!
Maneno machache, lakini yenye maana kubwa sana. Huwezi kuwa mwizi, na kudhurumu, halafu ukajitangaza wewe ni 'mzalendo.' Hata kama unaiba na kudhurumu toka nje na kuleta mali za wizi kwenye taifa lako, bado utakuwa hukidhi matakwa ya kuitwa 'mzalendo.' Hii sehemu ya mwisho najua itawakwaza wengi.Wizi na dhuluma havichangamani na uzalendo
AminaMungu mbariki Mkulima
Mungu aendelee kumbariki Mkulima!Kweli au???? Uzalendo wako uliuacha wapi?? Hata kama anatudai lakini usifikie mahali pa kumuombea baraka.
Kwa kosa gani?Ashitakiwe
Hata tukimlaani deni halitafutwa na hiyo laana, dawa ya deni ni.......!Kweli au???? Uzalendo wako uliuacha wapi?? Hata kama anatudai lakini usifikie mahali pa kumuombea baraka.
Yule mkulima maarufu anaye tunyima raha kwa sasa Mr Hermanus Steyn ndiyo huyu hapa chini.
Kwa sura anaonekana ni mtu muungwana sana.
Lkn kumbe ni mjanja mjanja. View attachment 1272554