Naamini hawaja mkaribisha kwenye harambee zao, kwan EL haombi yeye kwenda kwenye hizi harambee za makanisa bali hualikwa,na tumeona habagui dhehebu ingawa yeye ni Mlutheri, hebu wamualike afu tupate pa kuanzia mjadala!!
kutoa baada ya kuiba inasaidia nini hata hizi dini na viongozi wake ni matatizo tu ndio maana watu wengine hawataki kuikia dini na hao naamini wako huru zaidi.