Huyu ndiye awe Rais wa Awamu ya Tano!

K-Boko

JF-Expert Member
Aug 3, 2013
697
218
Kwa rasilimali hizi lukuki tulizojaaliwa nazo za watu, ardhi nzuri/kubwa na maliasili za madini na nyingine kama gesi; tunahitaji Rais wa awamu ijayo afutilie kwa mbali 'misifa ya ujanjaujanja' wanayojimwagia Wakenya kwamba ndio kiboko wa uchumi (economic giant) wa Afrika Mashariki. Na kazi hiyo aifanye ndani ya miaka mitano ya kwanza ya utawala wake. Kisha, ile mitano tutakayomuongezea iwe ni ya kukimbizana na Malaysia, Thailand, Afrika Kusini, Nigeria na India; huku tukimkodolea mimacho na kumnyemelea China kwa mbali!!
 
hili kufikia malengo,lazima rais aew na sifa zifuatazo,ili kufikia hayo malengo
1, mchapa kazi
2, awe mkali
3,uzoefu wa kufanya kazi sio wale wanaoenda kujifuzia uongozi kwenye madaraka
4,akili
5,mwenye dira

zaidi awe mchapa kazi hakuna maendeleo yanayopatikana kwa kelele za siasa kama mtu sio mchapa kazi hawezi kuwasimamia watu wafanye kazi bali atawambia wakae ofisin na kupinga majungu,hata rasilimali zingekuwa nyingi kiasi gani watu kama hawafanyi kazi watakuwa masikini tu,tunaitaji mtu atakaye wambia watu twende tukafanye kazi na watu wakamuona kweli nae yuko pamoja nao sio anabaki ofisi na kutuma watu,hapo tutapata maendeleo,hata nchi hizo zimefika hapo zilipo kwa kupata viongozi wachapa kazi wakawa mifano ya kuwambia watu wafanye kazi kwa maendeleo yao.
 
rais bora wa kuivusha tanzania kwa sasa hawezi toka ccm kamwe. tukipata rais wa awamu ya tano toka ccm mambo yatakuwa ni yaleyale.
 
hili kufikia malengo,lazima rais aew na sifa zifuatazo,ili kufikia hayo malengo
1, mchapa kazi
2, awe mkali
3,uzoefu wa kufanya kazi sio wale wanaoenda kujifuzia uongozi kwenye madara
4,akili
5,mwenye dira

zaidi awe mchapa kazi hakuna maendeleo yanayopatikana kwa kelele za siasa kama mtu sio mchapa kazi hawezi kuwasimamia watu wafanye kazi bali atawambia wakae ofisin na kupinga majungu,hata rasilimali zingekuwa nyingi kiasi gani watu kama hawafanyi kazi watakuwa masikini tu,tunaitaji mtu atakaye wambia watu twende tukafanye kazi na watu wakamuona kweli nae yuko pamoja nao sio anabaki ofisi na kutuma watu,hapo tutapata maendeleo,hata nchi hizo zimefika hapo zilipo kwa kupata viongozi wachapa kazi wakawa mifano ya kuwambia watu wafanye kazi kwa maendeleo yao.

Umenena mate!
 
Sasa haya wale waliojiudhuru kwa kashfa za rushwa watayaweza wapi? hapo walipo bado hawajapitishwa tayari wameshaingia mikataba na mabepari kwamba niungeni mkono nikipita Gesi ya mtwara yote yenu, sasa jifanyeni hamnazo muwapitishe...
 
Kwa rasilimali hizi lukuki tulizojaaliwa nazo za watu, ardhi nzuri/kubwa na maliasili za madini na nyingine kama gesi; tunahitaji Rais wa awamu ijayo afutilie kwa mbali 'misifa ya ujanjaujanja' wanayojimwagia Wakenya kwamba ndio kiboko wa uchumi (economic giant) wa Afrika Mashariki. Na kazi hiyo aifanye ndani ya miaka mitano ya kwanza ya utawala wake. Kisha, ile mitano tutakayomuongezea iwe ni ya kukimbizana na Malaysia, Thailand, Afrika Kusini, Nigeria na India; huku tukimkodolea mimacho na kumnyemelea China kwa mbali!!

kenya ni jirani zetu inabidi tuwapende no hostility ila wananiboaga kichizi na hizo mbwembwe zao
 
historia inaniambia hakuna maendeleo yanayokuja pasipo kufanya kazi ili watu wafanye kazi lazima wapate kiongozi mchapa kazi na hasiyetaka utani kazini,nikiwapima wote kwa kuangalia wanafanya nini sio wanasema nini,
kitu ambacho kimetusumbua afrika upata viongozi,namuona
MAGUFULI.
 
Kwa rasilimali hizi lukuki tulizojaaliwa nazo za watu, ardhi nzuri/kubwa na maliasili za madini na nyingine kama gesi; tunahitaji Rais wa awamu ijayo afutilie kwa mbali 'misifa ya ujanjaujanja' wanayojimwagia Wakenya kwamba ndio kiboko wa uchumi (economic giant) wa Afrika Mashariki. Na kazi hiyo aifanye ndani ya miaka mitano ya kwanza ya utawala wake. Kisha, ile mitano tutakayomuongezea iwe ni ya kukimbizana na Malaysia, Thailand, Afrika Kusini, Nigeria na India; huku tukimkodolea mimacho na kumnyemelea China kwa mbali!!

1, kwanza tumpate rais wa umri wa kati,kiasi kwamba miaka 10 bado atakuwa na nguvu akili ya kufanya maamuzi
2, tumuulize miaka aliyonayo katika taifa hili amefanya nini anachoweza kutuonyesha kuwa yawezekana kweli anaweza kutupeleka huko tunapotaka
maana haiwezekani miaka 60-65,hakuna ulichokifanya ktk taifa hili leo hii unatuaminisha kuwa unaweza kuongoza,siamini labbda wale wa kukaa ofisini pasipo kutumika wananchi,
 
Back
Top Bottom