sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,013
- 8,369
Huyu si mwingine ni PAULO, Makonda sababu za kusemwa sana ni hizi
kwanza kitendo cha kumpigia simu raisi, dhidi ya kelo za wananchi, wapo walio pinga kitendo hicho kwani raisi ni ngazi kubwa zilikuwepo za chini. ya raisi.
pili kauli yake ya kusema watumishi wengi ni wapiga stori osifini, kwa ili ni kweli sisi watumishi wa umma ni wapiga stori na si watendaji.
Tatu ilikuwa kauli yake dhidi ya kamanda SILLO, dhdi ya shisha, kwa ili lilikuwa la wki iliyopita ila Mh hakufanya poa maana yule mzee ni miongoni mwa wasafi sana.
naomba kuwakilisha.
kwanza kitendo cha kumpigia simu raisi, dhidi ya kelo za wananchi, wapo walio pinga kitendo hicho kwani raisi ni ngazi kubwa zilikuwepo za chini. ya raisi.
pili kauli yake ya kusema watumishi wengi ni wapiga stori osifini, kwa ili ni kweli sisi watumishi wa umma ni wapiga stori na si watendaji.
Tatu ilikuwa kauli yake dhidi ya kamanda SILLO, dhdi ya shisha, kwa ili lilikuwa la wki iliyopita ila Mh hakufanya poa maana yule mzee ni miongoni mwa wasafi sana.
naomba kuwakilisha.