AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Janaume lenyewe linajua kutoka tu kwenda kutafuta tu hela...
Lakini hali na maendeleo ya familia yake hana habari nayooo...
Unakuta Ana mke mzururaji mambo mengi...
Mabinti zake ndio wanachezewa na wahuni mpaka nyumbani kwake kabisa wala hawaogopi...
Eti baba poa...huyo ndio kichwa cha familia...
Hajui kukanya familia yake anaiogopa kuikera...
Mimi nyumba hiyo siwezi OA...
HUYU NDIO MWANAUME SURUALI SASA...
HAJUI HATA NAFASI YA UANAUME KICHWA WAKE...
Lakini hali na maendeleo ya familia yake hana habari nayooo...
Unakuta Ana mke mzururaji mambo mengi...
Mabinti zake ndio wanachezewa na wahuni mpaka nyumbani kwake kabisa wala hawaogopi...
Eti baba poa...huyo ndio kichwa cha familia...
Hajui kukanya familia yake anaiogopa kuikera...
Mimi nyumba hiyo siwezi OA...
HUYU NDIO MWANAUME SURUALI SASA...
HAJUI HATA NAFASI YA UANAUME KICHWA WAKE...