Huyu ndio Habib Mchange


funguka mkuu au niPM
 
Habib ni kilaza, Biblia inasema amelaaniwa amtegemeaye mwanadamu kuwa kinga yake. So umelaaniwa.
 
Fringe kwa nini unataka tuamini taarifa zako ambazo hata chanzo hazina na tusiamini chanzo kingine cha habari kama magazeti? Mwnahalisi limeandika habari nyingi tu na zimethibitka kuwa na usahihi wa kiwango kikubwa. Labda niambie wewe chanzo chako cha taarifa ambacho unakiamini ni kipi? na kwa nini. Jibu hoja si mtoa hoja ambae amenakili chanzo.
 
Yetu macho na maskio,masalia mnatia hasira,mnadhani nyie ni wangapi kwa idadi ya wapnz na wanachama wa cdm?dr.piga mbuzi wasaliti hawa chini,jahazi lisonge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…