B DOZEN B52
Member
- Apr 22, 2014
- 28
- 1
Chemsha Bongo.....
Baba na Mtoto walikuwa ndani ya gari high way , kwa bahati mbaya wakapata ajali mbaya sana Baba akafariki papo hapo , Mtoto alikuwa hali mbaya akakimbizwa hospitali.
Walipofika hospitali Yule daktari aliyekuja mhudumia Mtoto alisema maneno haya .
Thank God my son you are alive 
Daktari atakuwa nani????
Baba na Mtoto walikuwa ndani ya gari high way , kwa bahati mbaya wakapata ajali mbaya sana Baba akafariki papo hapo , Mtoto alikuwa hali mbaya akakimbizwa hospitali.
Walipofika hospitali Yule daktari aliyekuja mhudumia Mtoto alisema maneno haya .
Thank God my son you are alive 
Daktari atakuwa nani????