Muda huu anaendelea kuhubiri hapa mtaani kwetu kuhusu Kanumba na Diamond kuwa ni ma 'freemason, tena anasema ana mafuta matakatifu kutoka kwa mungu ambayo atayatumia kuangamiza dunia anasema aliyaonyesha dah! Mji mzima ulipatwa na taharuki na kusema yeye ni nabii.
Ni kijana tu, amenyoa kiduku, t shirt lina mistari, ana suruali modo nyeupe amekuja na kagari kadogo ka 'kirikou' samahanini kwa kuandika bila mpangilio maana nipo kwenye msongamano wa watu.
Naomba mwenye taarifa za huyu mtu anipe
Chanzo: Mimi mhudhuriaji
Eneo: Dodoma, Bahi mission, eneo la Singidani