Huyu mzee vipi?

Ukipenda maokoto Kuna Gharama zake utazilipa hakika.
Ukipenda kwa sababu ya upendo wa dhati na mwenza wako akakupenda utainjoi,hata Kama huna kitu utaona una kila kitu.

Kuna mzee flani hela kwake siyo tatizo ,na alikuwa anapenda Sana Dogo dogo tena unaahidiwa kiwanja au akikuelewa zaidi unapata nyumba kumbe alikuwa Mgonjwa ukweli aliwaunganisha wengi gred ya Taifa kwa tamaa zao .
Miaka 20 unakimbila wapi? Kama ni utajiri Haya huoo umekuja wahi kwa mzee,kumbuka mjuto ni mjukuu.
 
subiria uje uonje joto ya jiwe umkumbuke huyo mzee
BTW hakunaga mzee kwenye mapenzi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…