Mungu si mwanadamu!, Anachokuwazia Mungu ni tofauti kabisa na anachokuwazia mwanadamu. Mungu si mwanadamuSijalalamikia idadi hata sehemu moja,nawapenda na ninawafurahia,ila boy ukitoa mimba hata moja au kama ulishamtoa msichana nakuombea Mungu asikupe mtoto hata wakubeba jina ili ujue uzito wa unayowaza