Huyu mwanaume vipi!

Huyu mwanaume vipi!

Aisee hongera mama ,Mungu kakupa kizazi
Asante,nawashangaa walimwengu ukizaa hata mapacha umezaa sana,usipo zaa huzai,hata sijali najua nimezaa sawasawa na walio zaa mara tatu yaani watoto watatu
 
Asante,nawashangaa walimwengu ukizaa hata mapacha umezaa sana,usipo zaa huzai,hata sijali najua nimezaa sawasawa na walio zaa mara tatu yaani watoto watatu
Dunia hii unafikiria mbaya basi ? Walimwengu ndio wabaya ,Kila mtoto anakuja na riziki zake kwenye hii dunia hivyo mama endelea tu mpaka utakapo ona imetosha
 
Ila kwa ujumla nashukuru sana,mmenisaidia sana asanteni nimepata pa kuanzia
 
Dunia hii unafikiria mbaya basi ? Walimwengu ndio wabaya ,Kila mtoto anakuja na riziki zake kwenye hii dunia hivyo mama endelea tu mpaka utakapo ona imetosha
Hapana kaka,pia naona wanatosha nilisema ntazaa mara mbili wakaja wanne,rafu ikatupa nafasi ya tatu[emoji2] [emoji2] sasa nimejifunza sana,
 
c8daf47c9529bfcfa459815a28aa8610.jpg

Najaribu ku imagine tuu [emoji124] [emoji124]
 
Huyo ana lake jambo baya tu kuwa mkini....af mrekodi piaaa Maana unaaeza ambiwa muongo
 
Anakuonea huruma, kama rafiki wa mmeo wa karibu hivyo bila shaka anajua mengi. Jiandae tu kulea hao watoto, inawezekana ukaja kumshukuru kwa kukuamsha usingizini.
 
We Mama Ndio Unamuelewa Shem Vibaya. Halafu Nilidhani Ni Bonge La Kesi
 
Usishangae kwamba si kila mwanamme anaweza kumtongoza mwanamke na huyu ni mmojawapo. Si kushauri kumwambia mmeo kwani mbeleni inaweza kukuletea sintofahamu ila madam umembaini sasa cheza naye. Kula hela yake mpaka afilisike majununi huyo
 
Mh!we mropokaji hebu soma tena usikurupuke.sina hata sababu ya kujirahisisha nitofautishe na wadada wa kwenu,soma vizuri ujue unachokisema ,kama we nimwanaume dooh,kajifunze kutumia akili,kama mwanamke chunga huo mdomo utaachika
Samahani hatukuelewana... Lakini endelea kulalama.. kama id yako!!!
 
Sio fala ananiamini sana,wala siotatizo kwetu,hali halisi ilibidi nirudi nae
anakuonea huruma kwani anazo siri za mmeo jinsi anavyochukua vyangudoa na yupo kwenye list ya wahanga wa HIV.

Kwani mara ya mwisho mlipima lini we na mmeo?
 
Hamjambo wandugu,
Mwenzenu sielewi hawa wanaume wengine huwa wanawaza nini,mimi ni mke na mama wa watoto mapacha tatu yaani sita nimedumu kwenye ndo zaidi miaka kumi sasa,hatukuwahi kua na shida yoyote,

Tuna marafiki wa familia ambao nirafiki wa mume wangu mimi niliwafahamu baada yakuolewa,toka nikiolewa huyu mwanaume (rafiki)sikua namuelewa anavyoniangalia.
Nilihisi jambo sikutaka kuwaza ubaya nilipotezea tu.sasa Leo asubuhi amemsindikiza mume wangu anasafiri tukiwa njiani tunarudi akasimamisha gari na kuniuliza kama nnampango wakuendelea kuzaa,nilishtuka maana nijambo la ndani sana,nikamwambia ikiingia sitoi.kisha nikamuuliza kwani vip shem?ndio alipofunguka kuwa watoto 6 ni wengi sana mume wako akifa nani atakuoa ?
Sikumjibu kitu zaidi ya kumuomba anipeleke nyumbani,najiuliza sana haya yametoka wapi?nimwambie mume wangu?ninyamaze?nifanyeje mwenzenu sielewi!msaada
Alikuwa na maana nzuri ila hakujua jinsi ya kukufikishia, na ushauri kama huo alitakiwa aanze mbali na kulikuwa hakuna sababu ya kusimamisha gari, ujumbe umefika kaa uufikirie na hakuna sababu ya kumweleza mumeo pamoja na hayo kuhusu watoto ni uamuzi wenu hapo tegemea kupata ushauri wa kila aina kuhusu uzaaji huo
 
Sdhani kama nikitu kibaya sababau huenda anakupa wake up call lakini sio kwa ubaya,dunia yenyewe hii maisha ya sikuizi
magumu watoto wanataka kusoma wanataka maisha mazuri,kuna familia pia huenda wanakuegemea,chukulia kama advice
na ulifanyie kazi,kuna uzima na Mauti mwenyezi mungu awape umri mrefu mlee watoto wenu...
 
Back
Top Bottom