Huyu mwanaume mimi namwacha

Hayaa sasa zinduna mchagua nazi.................

Avumapo papa kumbe...............................

Ukimpata mwingine usisite kuja kutupatia vimbwanga vyake hapa paha jamvini.
 

huyu mwanaume ana matatizo akimuoa atamsumbua sana,haiwezekani mtu kufuta namba zoo
te za wanaume kwenye simu,kwani yeye ana ndg wa kiume,pia inaelekea hana heshima huyo mwanaume.what kind of graduate he is ?
 
Last edited by a moderator:
Okay Zinduna enjoy your freedom.

 
Last edited by a moderator:

Before you leave, hebu mwambie unataka abadilike na aweje? Ikishindikana Fanya kulianzisha, but I can't see future with that man, kwani haiwezekani tuanze kusomana tabia then Tuoane, there z no love there. Kozi mpo marafiki for so long
 
Mimi binafsi nina wasiwasi na uhalisia wa hii habar,,, Zinduna mbona hujanitag, au kuna mtu katumia ID yako? Wewe huyo wa kufanya madudu haya kwenye mahusiano?
 
Last edited by a moderator:
 
Wewe utakua huna tabia nzuri,sisi tuko kwenye ndoa simu kushikiana ni kawaida tu sasa wewe hutaki kwa nini?Utaishia kibadili mabwana mwisho utapata magonjwa!
 
huyu mwanaume ana matatizo akimuoa atamsumbua sana,haiwezekani mtu kufuta namba zoo
te za wanaume kwenye simu,kwani yeye ana ndg wa kiume,pia inaelekea hana heshima huyo mwanaume.what kind of graduate he is ?

Mkuu tracy martins, nimekusoma ila sijamshauri akubali amuoe lakini ajaribu zaidi kumrekebisha na if possible kutumia msaada wa close frnds wa huyo mkaka kwani kwa mtazamo wangu hivyo vitabia vinarekebishika. Trust me, am a man and hizo kasoro ni ndogo sana. Huwezi pata a complete full package
 
Last edited by a moderator:
pole sana.. ushasema unamwacha basi mwache.. ila ungemuweka wazi kuwa unamwacha kwa sababu zipi.
 
kama kweli unampenda kwanin usimshauri abadarike, ushauri wa bure. Kabla huja engage na mtu kila mtu amwambie mwenzake utaratibu wake wa maisha nini hutaki kufanyiwa na nini unataka ufanyiwe kabla hata ya
 
Wewe Zinduna mapepe usikubali kupakuliwa ovyo ww. Unasema mwanamme mchamungu sasa mbona mnapakuana?
 
Mwanaume hana shida kaona alivyokupata na anajua kuna mtu mwingine atakupata mda si mrefu kwa maneno mengine amekusoma haujatulia ndo maana ana wasiwasi nawe na utazunguka mpaka mwisho ukifikiria dushe zilizo....... Utalia na hakuna aliyekuoa take care
 
na wewe kwa matamasha tu, mara tamasha la mwakasege, mara mkesha wa Idd kote huko upo?!! mi napenda tu usimulie ulivomfuma bwanaako na rafikiyo wa karibu, inaonekana genge lako haliaminiki katu!
 
na wewe kwa matamasha tu, mara tamasha la mwakasege, mara mkesha wa Idd kote huko upo?!! mi napenda tu usimulie ulivomfuma bwanaako na rafikiyo wa karibu, inaonekana genge lako haliaminiki katu!

Yameanza lini haya
 
Before you leave, hebu mwambie unataka abadilike na aweje? Ikishindikana Fanya kulianzisha, but I can't see future with that man, kwani haiwezekani tuanze kusomana tabia then Tuoane, there z no love there. Kozi mpo marafiki for so long

kusomana tabia ni kawaida, ssema watu wengi huwa hawaambiani kama wanasomana tabia!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…