Huyu mwanaume mimi namwacha


Nalo neno hakuna mkamilifu duniani ila afadhali ya huku shemegi yetu kuna wengine visa vyao havisemeki.......
 
Sa unaomba ushauri au ushafikia muafaka/maamuz? Na ni waz kwamb humpend na kama unampenda kwa nin usimwambie ukwel akabadilika? Wanawake wengine bana majanga. Haya muache ka unafikiri mwingine utakaye mpata atakuwa dizain hiyo unayoitaka.
 
Wewe kama unajua hakuna kibaya unachowasiliana na hao watu wako, kuna haja gani ya kumzuia asipekue sim yako? mambo mengine ni hatua za kimakuzi tu, sio kweli kwamba hiyo tabia atakuwa nayo miaka yote.
Wewe jaribu kumuacha halafu upate mwanaume mwenye tabia ya kutembeza kichapo au malaya ndio utajuta.
 
Zinduna we hutaki kumsifia, kumdekeza na asikuonee wivu unataka amuonee wivu nani inaonyesha huko vizuri ww
 
Kweli Concordia huyu ni mchepukaji anaogopa jamaa akipekua sana atajua
 
Kama unaona mapenzi ni jambo la muhimu kwako, basi vumilia, ndiyo mapenzi hayo, ukimwacha tena huyo halafu ukatafuta mwingine, si ajabu huyo ukamfumania hata na shangazi yako, Wengine tumeamua mapenzi yasiwe jambo la muhimu, mimi tukilala na wewe leo, kesho tunapishana tu hata nikukute na Rashid mi sina tatizo...
 
Kama kweli umelelewa katika maadili ya dini basi jitahidi ata kubadilisha Avatar yako maana inawapa wakati mgumu watu wengine hapahapa ndani, weka picha ambayo inaendana na maadili ya dini

Avatar yako ikoje mi siioni, lol
 
Zinduna ,"Love & relationships don't require us to be at our best, only that we try to help one another to be the best", kusema kweli kupata mtu ambaye hata kuwa na kasoro au awe na kila kitu ukipendacho ni ngumu sana, ndo maana nataka kukuambia jaribu kwa kila uwezalo kumrekebisha otherwise Ghubu na kudeka ni vitu vidogo sana.
 
Last edited by a moderator:

umemaliza kila kitu
 
Mi na wangu huwa tuna share simu,mi lazima simu yake nishike na uzuri ye pia huwa lazima ashike simu yangu,so tumefanana kwa interests na wivu,but why iwe ngumu ye kushika simu yako?
 
Kwahiyo upo singo au????
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha miye mechekaaa mpaka basiiiii jamaniii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…