Hee! Wewe mwanamke! !!! Are you serious with your lifewazazi walidai hawana pesa wajipange mpaka mwez wa saba sasa akakataa anasema wasaba mimba itakua kubwa itaoneka bora nitoe au nisubiri nijifungue ndo tungendoa
Askofu. .inakuhusu nini. ..aisee nasikia hasirababa yake ni Askofu hataki ijulikane kwao
hebu zinduka binti....huyo mwanaume hakujali wewe wala hicho kiumbe chenu kilicho tumboni mwako..hakupendi na alikuwa anakutumia muda wote huo im sorry to say that...hivi mtu anayekupenda,aliyekuposa atadiriki kukwambia maneno kama hayo eti ule dawa fulani utoe mimba au hawezi kukusaidia??..nadhani ur in so love and immatured huoni hata whats wrong,ukikua utakumbuka haya useme i was so stupid...but you know what in life we stumble and fall,and we raise up and move on, chukulia this is one of ur mistake learn from it!!...we achana nae shika yako na washirikishe wazazi wako....hakika watakusamehe kwa makosa yako....Sijui lakini mm cjawai kuleta uzi zaidi ya huu unaohusiana na hili lakin tumekuwa tukigombana sana ananiambia nitoe mimba na leo asubuhi kanitumia ujumbe nimeze MICOPHEN-M-KIT mi nikamuambia siwezi wala sitarajii kutoa mimba kaniambia basi hana jinsi ya kunisaidia nitajua mwenyewe sababu nambishia anachotaka
samahani kidogo swali langu ni je unajipenda?
Kanipa mimba hataki kueleweka, katoa mahali nyumbani harusi ilikua mwezi wa 5 tangu nimemwambia ninamimba anarusha miezi mara wa 7 mara wa 10 sasa kasema mwaka kesho, wazazi wa pande mbili hataki wajue kama ninamimba mimi naishi kwangu wanza nlikua nafanya kazi sasa nimeachishwa sababu ya kuumwa umwa kutokana na ujauzito ananiambia nikae hukuhuku nyumbani wasijue chochote mpaka nijifungue ndo mipango ya harusi iendelee,sasa nishaurini nitakaaje huku sina ndugu sina kazi nitaishije na huu ujauzito kumbuka ni mimba ya kwanza nikipata matatizo hakuna wa kunisaidia na yeye yupo arusha,nifanyeje?
Pole sana bibie ila nikupeyako plus huyo coward guy wako..asijiachie kulipiwa mahari sio kijiachia kiivyohawa viumbe ni wazito inabidi ufanye kazi ya ziada cos hii imekaa mkao wa churahatujui plan zake
First ongea na shangzio bidada au yoyote unayehisi ana ushauri mzuri mweleze inn n out kuwa una ujauzitoyeye atawaeleza wazazi wako plus wazazi wa guy kama ndoa ifungwe or jamaa asemetatizo nini.yawezekana jamaa anataka kukuacha kitendo cha yeye kukutaka usisemekuwa makini waambie mapema hakawii kusema mimba si yake.
Take action usikae kimyawaambie mapema onana na ndugu zake hasa wazazi wajue khali yako
Askofu. .inakuhusu nini. ..aisee nasikia hasira
Ndio wewe uliambiwa utoe mimba? Kuna Uzi uliletwa humu maelezo yake yanaendana na haya . siwezi kuretrieve ule Uzi.
haha g click umeniacha hoi...
Mwenzangu! ! Askofu ndo achezee wengine?hehe et askofu... wakat anakugegeda hakujua babake askofu... mpuuzi sana huyo..