Huyu mwanaume ana makosa?

cku hizi wanaopataga muda wa kuandika barua bac, unatupiwa vinguo viwili vitatu vya kukusitiri kwa cku kadhaa huko kwenu kabda haujajipanga kuja kufungasha kilicho chako....(viasarawili an viagauni ulivyobakiaza)

Hahahahah......mi namuonea huruma huyo baba tu!!Huyo mama hata kurudishwa bila kanga ya pili sawa tu!!Ana mengi sana ya kujifunza!
 
Kwa kweli ilinisikitisha kweli na ukiwaona wanavyopendana huwezi kuamini haya la we acha tu dunia ina mambo
Ndo mana wengine wanasema kamlimbwata .......... ila huyo mwanaume naye hana ma'shosti' zake wa kiume wamvute masikio kidogo? kupenda gani huko upofu??
 
Wewe hunizidi mimi niliyokuwa nayo jana mpaka nikaona niilete hapa aliniudhi mpaka basi sijui wanawake wengine wanakuwaje kha!!!

Hili nimeiona mara kadhaa kwa wanawake i don't know what is wrong with you ladies kuna jirani yangu mkewa alitumia hela yote ya kununulia 'ka usafiri' kwenye 'dili zake'. kumzuga mumewe ambaye alikuwa ni mtu wa safari za mara kwa mara anakodi gari kwa muda ambao mumewe yupo akimdanganya ni letu. mwisho wa siku ilikuwa aibu
 
Hili nimeiona mara kadhaa kwa wanawake i don't know what is wrong with you ladies kuna jirani yangu mkewa alitumia hela yote ya kununulia 'ka usafiri' kwenye 'dili zake'. kumzuga mumewe ambaye alikuwa ni mtu wa safari za mara kwa mara anakodi gari kwa muda ambao mumewe yupo akimdanganya ni letu. mwisho wa siku ilikuwa aibu
<br />
<br />
Jamani hii tena kiboko yaani kwa kweli mie nasikia hasira kwenye hilo
 
huyu mwanamke hampendi mumewe ,mara zote alizosamehewa hakujifunza kitu.
Nina mashaka na mawasiliano yao huenda ni mabovu inakuaje mpaka anaweka rehani mali ya familia bila mume kujua sijaelewa bado.
 
Ni Baba wa watoto wanne wana ndoa nzuri tu. Imetokea shida ndani Mama kachukua mkopo Benki mara ya kwanza bila Mumewe kujua alikopeleka pesa anajua yeye akashindwa kulipa Benki wakaja wakabeba kila kitu mume kurudi kawa mkali kabembelezwa kakubali wakaanza upya, Mama kabadili Benk the same story wakabeba kila kitu, leo ni mara ya tatu wakaja mchana wa leo wamebeba kila kitu km kawaida kumbuka hii nayo ni Bank tofauti mzee kurudi kukuta yale yale ya kusafishiwa nyumba kamtimua mkewe yuko anaomba msaada plus msamaha arudishwe. Mie nauliza huyu Baba ana makosa kwa hili kweli? Kwangu binafsi naona yuko right....

Fukuzia mbali huyo hafai kuwa mke, si mwaminifu.
 
huyu mwanamke hampendi mumewe ,mara zote alizosamehewa hakujifunza kitu.
Nina mashaka na mawasiliano yao huenda ni mabovu inakuaje mpaka anaweka rehani mali ya familia bila mume kujua sijaelewa bado.

Hapo ndipo palikuwa pagumu tukawa tunajiuliza may be wakati mumewe yuko kazini yeye ndo anafanya hayo ila mara tatu zote that's too much bana kha!!!
 
Ni Baba wa watoto wanne wana ndoa nzuri tu. Imetokea shida ndani Mama kachukua mkopo Benki mara ya kwanza bila Mumewe kujua alikopeleka pesa anajua yeye akashindwa kulipa Benki wakaja wakabeba kila kitu mume kurudi kawa mkali kabembelezwa kakubali wakaanza upya, Mama kabadili Benk the same story wakabeba kila kitu, leo ni mara ya tatu wakaja mchana wa leo wamebeba kila kitu km kawaida kumbuka hii nayo ni Bank tofauti mzee kurudi kukuta yale yale ya kusafishiwa nyumba kamtimua mkewe yuko anaomba msaada plus msamaha arudishwe. Mie nauliza huyu Baba ana makosa kwa hili kweli? Kwangu binafsi naona yuko right....

Nashawishika kuamini huyo mwanaume aliolewa na mwanamke kwa minajili hiyo mwanaume alikuwa hana meno kwa kosa la kwanza na la pili hili la tatu jamaa ameamua kuuvaa uanaume kweli na kumrushia nguo zake kwenye malibolo.
 
Kuna mawili hapo

1.Amefanya bila mume kuelewa chochote kinachoendelea.
2.Alichukua huo mkopo mume akijua lakini swala la mapato na matumizi mawasiliano yao yalikuwa mabovu na mume akiamini kila kitu kiko shwari na wakati huo mke akitoa taarifa zisizo za kweli.

Lakini na huyu mume nae itabid awe na yake ya kujibu mara zote izo amekaa amefumba macho,naweza sema huyu mwanamke naye ni mpumbavu wa mwisho watu tunahangaika kutengeneza familia yeye anakwenda kuweka rehani mali waliyotengeneza sijawahi ona na ana watoto akili yake iko sawa.

Hapo ndipo palikuwa pagumu tukawa tunajiuliza may be wakati mumewe yuko kazini yeye ndo anafanya hayo ila mara tatu zote that's too much bana kha!!!
 
Nashawishika kuamini huyo mwanaume aliolewa na mwanamke kwa minajili hiyo mwanaume alikuwa hana meno kwa kosa la kwanza na la pili hili la tatu jamaa ameamua kuuvaa uanaume kweli na kumrushia nguo zake kwenye malibolo.

Ha ha ha ha eti kamuoa mchokozi wewe
 
Huyo baba kweli anampenda mke wake tena mapenzi ya dhati....

huyo dada hata angekua mdogo wangu ningemkaribisha nyumbani kwa mikono miwili. Hampendi mumewe, hamueshimu, hamshirikishi, hajaona thamani ya huyo mume! vipi anataka kumuua baba wa watu wakati kuna ladies akili zimetulia na wanatafuta waume???


NI kweli kabisa,kibaya zaidi wanatafuta hawapati,
Hao wenye kupata (baadhi) wanabomoa kwa mikono yao wenyewe.

Ila nadhani hao wanandoa walikosa mawasiliano mazuri ktk ndoa yao,
lakin pamoja na ukosefu wa mawasiliano kati yao bado huyo mke,
Hakutakiwa kufanya hayo madudu aliyoyafanya,
Mkopo mara tatu anashindwa kurudisha??,
inamaana alikuwa anachukua mkopo pasipokuwa na
mipango mizuri pamoja na usimamizi mzuri wa kufanyia hizo pesa.
Mara ya 1 bahati mbaya,
ya 2 nini ?,
ya 3 ni nini?,

SUALA LA KUACHANA, AU KUSAMEHEANA NA KUENDELEA NA NDOA YAO NI JUKUMU LAO WAO WAWILI KSB WAO NDIYO WANAJUA THAMANI YA UPENDO WAO. WATAKAPORUDIANA BASI WAHAKIKISHE MAWASILIANO YANAKUWEPO KATI YAO ILI KUONDOA MIGOGORO KAMA HIYO.NA HATA WAKIACHANA BASI WATAKAPOANZA MAISHA MAPYA YA MAPENZI BASI WASIYARUDIE TENA MAKOSA HAYA YALIYOFANYIKA KTK NDOA YAO YA kwanza.
KILA LA KHERI KTK MAAMUZI YAO WATAKAYOYACHUKUA.
 
Back
Top Bottom