kuna dada nilimpenda baadae akanisalti akaolewa na jamaa mwingne amezaa naye mtoto akamtelekeza sasa kila siku ananipigia simu na kunibembeleza turudiane.ushauri wenu waungwana!
kuna dada nilimpenda baadae akanisalti akaolewa na jamaa mwingne amezaa naye mtoto akamtelekeza sasa kila siku ananipigia simu na kunibembeleza turudiane.ushauri wenu waungwana!
kuna dada nilimpenda baadae akanisalti akaolewa na jamaa mwingne amezaa naye mtoto akamtelekeza sasa kila siku ananipigia simu na kunibembeleza turudiane.ushauri wenu waungwana!
nimependa herufi nne za mwisho za jina lako.
Mrudie tena umsomeshe na huyo mtt kama wako. ikibidi na ATM zako zote mpe na mshukie chumvini.
AKILI YAKO IMEDUMAA KWA KUNYWA VIROBA WAKATI UNA NJAA. UNGEKUNYWA HATA CHIBUKU UNGEKUA NA UWEZO WA KUTAFAKARI MAMBO YA KAWAIDA.