Nakushauri soma dogo, maana naona bado una akili za kivulana..
Aje kukufundisha kupika kwani yeye anasomea shahada ya upishi!?







Mkuu,huyu still young,kama ata kupika hajui syo udar es salaamWanaume wa dsm bhna hivi lini mtabadirika jaman
Mkuu,huyu still young,kama ata kupika hajui syo udar es salaam
hakika mkuuWanaume wa dsm bhna hivi lini mtabadirika jaman
Huyu ni wa. Dodoma mkuu!!Wanaume wa dsm bhna hivi lini mtabadirika jaman