Huyu mwanamke simuelewi!!

Huyu mwanamke simuelewi!!

Mapenzi yameishaisha hapo mkuu ebu muache aende tu utaumia tu lakini utamsahau huyo kashapata mwanaume mwenye kukuzidi wewe kwa kila kitu ila kama utaendelea kulazimisha mapenzi kwake tegemea maumivu zaidi
 
huyo mwalimu mzuri sana.. anatoa mafunzo usiku na analala geto...

hata mimi sijui kupika naomba uniunganishe nae
 
Hebu weka picha ya huyo binti kwanza ...
 
Chuo hkuna mapenz fala ww piga nyeto,utasapu bure
 
Sikushangai kwa sbb bdo mdgo sna,cha kufanya achana na mambo hayo soma kwnza maana yatakuchanganya sna kwa sbb kama hata hilo ujui...

>Uyo ashakusamehe ,lkn hatak kukuambia kwa maneno kwa sbb mwenzio yuko na upeo anajua utaona kama anajipendekeza kwko na kurudia matapishi coz ashasema akutaki

>Akija kukuambia kuw mmerudiana,kuwa makin sna ktgk sual la kuish nae mdg wng hao wanachuo ni pasua kichwa

>Aendelee kuwa anakuja alaf anarud

Idiology super star
 
dogo unaniangusha mimi kaka yako, wewe wa kuomba ushauri huo!!!!
 
Kimbia aiseee nimesha mshtukia huyo manzi anataka kukutoa roho cha msingi acha chuo kabisa maana hustahili kuwepo huko jombaaa
 
nakushauri soma kwa bidii sana ukuze maarifa yako,trust me next time hautakuja tena na uzi kama huu.
 
Yaaan wewe ni msomi wa chuo kweli????basi hii Tanzania ya vwanda hatutaifikia kama hessbu ndogo iv zinakushinda.Akija we msukumie nyama tu wala msirudiane
 
Vuta subira mkuu akija utajua tu
Usisahau kuleta mrejesho
 
Back
Top Bottom