reactionmechanism
Member
- May 8, 2017
- 61
- 45
Nimekuwa kwenye mapenz na binti mmoja HV rika langu kabisa,mwanzoni tulipendana sana kipindi tuko mwaka wa kwanza chuoni tukikaa kwenye hostel za vyuo vyetu.Kwa hyo hata kugegedana ilkuwa tunakwenda guest tunamalizana tu fresh,huu mchezo uliendelea kwa miezi kadhaa kama nane HV.
Kilichonifanya nije niwaandikie waraka huu na kuomba ushaur n kwamba miez miwili iliyopita tuligombana mm na mpenz wangu mpk yy akaamua kusema hanitak tena ,amenichoka,kila MTU ashike zake,kiukweli mm nilikuwa bado namuhitaj huyu mwanamke sana tu na nilijitahd kumuomba msamaha japo wote tulikoseana lkn alikataa katakata kurudiana na mm. Mwez ujao tunaingia mwaka wa pili kwa hyo kila MTU imembidi kupanga chumba mtaani,nimemuomba turudiane ila amekataa lkn akaniambia kwamba nikishahamia getho kwangu rasmi atakuja kwangu kunielekeza kupika na akasema atalala kwangu,mm kuskia HVO nikajua labda kanisamehe so anataka turudiane lkn nilipomwambia suala LA kurudiana akakataa katukatu ila kuja kulala kwangu amesema atakuja hasa kunielekeza namna ya kupika msosi maana mm kiukweli sjui kuandaa diko. Kiukweli nashindwa kumuelewa maana inakuwaje aje kulala kwangu wakat kakataa kurudiana na mm?? Kama ingekuwa n kunifundisha mapishi angekuja mchana siku za weekend lkn yy anataka usiku , binafsi nimeshindwa kujua nn lengo lake hasa ila kumkatalia nimeshindwa ,na akija tutalala kama kaka na Dada au itakuwaje? ,so wadau mnipe mawazo maana nashindwa kumuelewa huyu mtoto.
Kilichonifanya nije niwaandikie waraka huu na kuomba ushaur n kwamba miez miwili iliyopita tuligombana mm na mpenz wangu mpk yy akaamua kusema hanitak tena ,amenichoka,kila MTU ashike zake,kiukweli mm nilikuwa bado namuhitaj huyu mwanamke sana tu na nilijitahd kumuomba msamaha japo wote tulikoseana lkn alikataa katakata kurudiana na mm. Mwez ujao tunaingia mwaka wa pili kwa hyo kila MTU imembidi kupanga chumba mtaani,nimemuomba turudiane ila amekataa lkn akaniambia kwamba nikishahamia getho kwangu rasmi atakuja kwangu kunielekeza kupika na akasema atalala kwangu,mm kuskia HVO nikajua labda kanisamehe so anataka turudiane lkn nilipomwambia suala LA kurudiana akakataa katukatu ila kuja kulala kwangu amesema atakuja hasa kunielekeza namna ya kupika msosi maana mm kiukweli sjui kuandaa diko. Kiukweli nashindwa kumuelewa maana inakuwaje aje kulala kwangu wakat kakataa kurudiana na mm?? Kama ingekuwa n kunifundisha mapishi angekuja mchana siku za weekend lkn yy anataka usiku , binafsi nimeshindwa kujua nn lengo lake hasa ila kumkatalia nimeshindwa ,na akija tutalala kama kaka na Dada au itakuwaje? ,so wadau mnipe mawazo maana nashindwa kumuelewa huyu mtoto.