The patriot man
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 1,124
- 1,459
Hope mko poa
Ipo hivi miezi mitatu ya nyuma nilienda ofisi moja hivi nikiwa nafuatilia mambo flani yangu binafsi. Sasa nilikaa pale mda mrefu sana kwa sababu nilikuatana na marafiki zangu wengi ikawa tunapiga story saana huku tukisibiri huduma. Mara baada ya Mda akaja dada mmoja hiivi mzuri kweli ana hips balaa tupu alafu pia ni mrefu yaani ki ufupi ni mzuri sana. Na yeye akaja akawa ameungana na sisi pale story story sana baadae mimi nikapata huduma wa kwanza nikawaacha pale wote.
Baadae jioni mshikaji mmoja akaniambia oya Yule Demu ameniomba namba yako kasema unaonekana mchangamfu sana alafu una story na comedy comedy so alipenda vituko vyangu.. nikasema haiwezekani mwanamke mzuri kama yule kuomba namba yangu jamaa aksema kweli .. nikaona miyeyushoo jamaaa anazingua. kweli kesho yake Demu kanivutia waya hello mimi fulani tulikutana sehemu flani niakmuambia poa nambie mekupata .
Story zikaanza ikawa kila day lazima anicheki, morning, jioni ku ni wish usiku mwema yaani hivo kila siku kwa mda wa almsot 3 weeks hapo sijamtongoza ila naona kabisa anataka nimtongoze nikasema sitaki ku ji resiii mtoto huyu ni mkali ila ngoja nimuone mwisho wake.
Siku moja nikamuomba appointment... paa mara kakubali tukakutana demu kajiparaa balaaa yani macho kodo kwa vidume .. tukaak sehemu story nikafungungaka wewe mtoto akanielwa asilimia 100%... tukarudi home baada ya sku kadhaa akawa anitafuti tena yeye Mpka mm nimtafute huwa ananitafuta mara moja moja usiku huku akiniuliza mekula, au unafanya nini.. ila kibao kimegeuka kwangu mara nyingi huwa mpaka mimi nimtafute. hebu nielezi hapo wakuu... coz sijamuelewa aisee najaribu kumsoma bado yaani coz every thing anatii,
NOTE: sijawahi kumuambia kitu akagoma, wala sijawahi kumpigia cm asipokee, na kama nikipiga cm kama hajapkea huwa baadae ananitafuta... na kuniomba Radhi
Ipo hivi miezi mitatu ya nyuma nilienda ofisi moja hivi nikiwa nafuatilia mambo flani yangu binafsi. Sasa nilikaa pale mda mrefu sana kwa sababu nilikuatana na marafiki zangu wengi ikawa tunapiga story saana huku tukisibiri huduma. Mara baada ya Mda akaja dada mmoja hiivi mzuri kweli ana hips balaa tupu alafu pia ni mrefu yaani ki ufupi ni mzuri sana. Na yeye akaja akawa ameungana na sisi pale story story sana baadae mimi nikapata huduma wa kwanza nikawaacha pale wote.
Baadae jioni mshikaji mmoja akaniambia oya Yule Demu ameniomba namba yako kasema unaonekana mchangamfu sana alafu una story na comedy comedy so alipenda vituko vyangu.. nikasema haiwezekani mwanamke mzuri kama yule kuomba namba yangu jamaa aksema kweli .. nikaona miyeyushoo jamaaa anazingua. kweli kesho yake Demu kanivutia waya hello mimi fulani tulikutana sehemu flani niakmuambia poa nambie mekupata .
Story zikaanza ikawa kila day lazima anicheki, morning, jioni ku ni wish usiku mwema yaani hivo kila siku kwa mda wa almsot 3 weeks hapo sijamtongoza ila naona kabisa anataka nimtongoze nikasema sitaki ku ji resiii mtoto huyu ni mkali ila ngoja nimuone mwisho wake.
Siku moja nikamuomba appointment... paa mara kakubali tukakutana demu kajiparaa balaaa yani macho kodo kwa vidume .. tukaak sehemu story nikafungungaka wewe mtoto akanielwa asilimia 100%... tukarudi home baada ya sku kadhaa akawa anitafuti tena yeye Mpka mm nimtafute huwa ananitafuta mara moja moja usiku huku akiniuliza mekula, au unafanya nini.. ila kibao kimegeuka kwangu mara nyingi huwa mpaka mimi nimtafute. hebu nielezi hapo wakuu... coz sijamuelewa aisee najaribu kumsoma bado yaani coz every thing anatii,
NOTE: sijawahi kumuambia kitu akagoma, wala sijawahi kumpigia cm asipokee, na kama nikipiga cm kama hajapkea huwa baadae ananitafuta... na kuniomba Radhi