Huyu mwanamke haeleweki

Huyu mwanamke haeleweki

Huyo mdada alikuwa na mtu mwingine pembeni,mapenzi yamekolea akaona hufai,amepigwa tukio huko ameona bora aendelee na wewe
Umenikumbusha mbali kuna mmoja alimwaga jamaa yake 2 months before weeding kwa maelekezo ya mchungaji wa kilokole kuwa ndoa yao sio mpango wa Mungu, demu akaenda huko akadungwa mimba na kuachwa tena kwa kashfa, baada ya kujifungua eti anamtafuta jamaa warudiane, jamaa naye akakomaa, amebali kuwa single mama tu na kutembeza kipochi manyoya mjini kwa kila anayeonyesha interest. Wanawake viumbe wa ajabu sana.
 
Siku zote ukiona upande wa mwanamke uliye naye kwanzia ndugu zake ,wazazi wake wanakusema vibaya sana , jitahidi sana uachane na huyo mwanamke kwa amani haijalishi ataumia au wewe utaumia.

Msiniulize kwa nini nimeshauri hivi ila mwenye akili naazingatie hili
 
Nilikuwa na mahusiano na mdada age 26 nilipoanza nae mahusiano ilikuwa siri lkn hakunaga penzi la siri badae ikaja fahamika mtaani, maneno yalikuwa mengi mno mno lakini huwezi amini yule dada kwa maneno yale alikuja kwangu akanambia kwa haya maneno yao mm naamua kuishi kbsa naww hata kama sikuwa tyr kuishi na mtu kwa sasa na hii alinambia mapema kuna mambo yake anaweka sawa, sasa nashangaa ww kwa manen ndy mnaanchana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom