Huyu mwanamke ataniua jamani

Huyu mwanamke ataniua jamani

Maswali ya darasa la saba dah!
Kama hasani, joni na juma wanalima shamba kwa siku sita itachukua blah! blah!
Sasa huyu mkuu inaonesha hayo maswali alikimbia

ndio maana aliwapanga watano. sasa wewe umetaka kuwa peke yako,fanya kazi ya watano.
 
Hivi kuna watu mnakuwa mmepangwa watano afu bado na wewe umejishikilia tu kwenye hiyo circle? Na bado unaamini kuwa atawaacha hao wanne na kutulia na wewe tu mmmh. Am so wonders
 
Vumilia tu awe na hao watano, Ili upate muda wa kupumua. Ukiona huwezi waachie wengine.
 
Dah mnaropoka tu hapa napigaga mpaka goli 17 kwa siku lakini bado wamo...Ngoma tumepima yuko poa kabisa...anajua mahaba sana yaani nikimuangalia tu dushe hilooooo...ila kweli ananipeleka puta...akipanda kwa juu ndio mpaka upige yowe kama feni bovu....
 
Waungwana wa JF,

Nilipata mwanamke ambae tuko wanaume watano na wote tunafahamiana, lakini huyu mwanamke naishi nae kwa muda sasa na kaniahidi kuwaacha wengine wote na ameanza kuwakandia.

Tatizo lipo kwenye kufanya mapenzi, anapenda kugegedana kupita maelezo, siku nisipoenda kibaruani tukibaki nyumbani anahakikisha tunagegedana siku nzima.

Usiku ananiamsha analialia kabisa anataka kufanya mapenzi mpaka kuna muda naishiwa pumzi natamani kukimbia mpaka nasinzia kazini kwa kutokulala.

Nisaidieni wadau sijui nimuache?

repeated topic, copy and paste, plagiarism
 
njoo nikupe Nguloba,bao moja baada ya masaa matatu na kitu kinakuwa kimesimama. atajuta
 
Unapga goli 17????? futa hyo comment aisee..kama ww ni mtu sio farasi
 
Kama hujui kumuacha sisi tutakushauri nini?
Endelea kufidia wanaume 5 aliowapoteza kwa sababu yako
 
​
popeye_by_rjfmoulton-d4p94vd.png


Smoke some of that bruh, and The homie Strict recomended dudes to finish our breakfasts.​

Hahahaha umenikumbusha mbali hahahah
 
Back
Top Bottom