Huyu mwanamke ana nia Gani?

Huyu mwanamke ana nia Gani?

Mwambie jamaa apretend kurudi kweye umaskin wa kupindukia hata kwa miezi miwili tu aone kama hata atapata salamu kutoka kwa huyo ibilisi ex wake
Ndugu mimi nlmuambia ampotezee....kama akshndwa kumpotezea nd nkamshauri afanye hvyo....sema kilichonifanya niombe mtazamo wa wengne n kwakuwa jamaa ana kila dalili za kumrudia huyo dem
 
Jambo kama hili ni la kuomba ushauri?
 
huyo ni mwanamme ni MWNAMUME wenye msimamo hakuna maswali ya kipuuzi
Elewa kinachotakiwa n mtazamo wako...!!na hakunaga swali la kpuuzi...co kila mtu ana mawazo kama yako ndugu
 
Niliyenae hana kasoro, kwanini nipashe kiporo, uliniacha totoro bila yagodoro.

Kazi yasanaa nikuonya nakufunza nakuburudisha mwambie atafute huo wimbo sijui umeimbwa nanani.
 
Back
Top Bottom