Huyu mwanafunzi nimfanyeje?

Huyu mwanafunzi nimfanyeje?

ESCORT 1

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2015
Posts
1,501
Reaction score
3,342
Nilimpa lifti ya usafiri asubuhi moja hivi kwa lengo la kumuwahisha skuli sasa imekuwa " nongwa " kwangu kwani siku aliyopanda gari langu, alikuta business card yangu kwenye kiti akaichukua kwa siri na kuitunza kwa begi yake. Sasa baada ya muda wa siku kadhaa ameanza kunisumbua kuwa anataka kuonana na mimi kwani ana zawadi yangu anataka kunipa.

Mwnzoni nilimpotezea lakini sasa amekuwa hasikii wala haambiliki kwani muda wote ananisumbua hewani mpaka najiuliza hiyo form six anayosoma anapata wapi muda wa kuwa na simu muda wote?

Wadau hasa wataalam wa saikolojia nipeni ushauri wenu nimfanyaje huyu mtoto ili alizike na asinitafute tena maana sitaki kumuharibia future yake japo denti nae sio haba najua hapo tambaza anakimbiza sana hata hao maticha wake.

Nipeni ushauri wakuu.
 
Nilikuwa sijategemea kwamba mwanamume anaweza kuja kuomba ushauri kwa jambo kama hili....
Na hutaona wala kusikia mpaka mwenyezi mungu akuchukue. Ni wavulana tu utawasikia wanauliza na ukichunguza sana ni wanachama wa CHAKUPU
 
Nilimpa Lifti Ya Usafiri Asubuhi Moja Hivi Kwa Lengo La Kumuwahisha Skuli Sasa imekuwa " NONGWA " Kwangu Kwani Siku Aliyopanda Gari Langu , Alikuta Business Card Yangu Kwenye Kiti Akaichukua Kwa Siri Na Kuitunza Kwa Begi Yake. Sasa Baada Ya Muda Wa Siku Kadhaa Ameanza Kunisumbua Kuwa Anataka Kuonana na Mimi Kwani Ana Zawadi Yangu Anataka Kunipa.

Mwnzoni Nilimpotezea Lakini Sasa Amekuwa Hasikii Wala Haambiliki Kwani Muda Wote Ananisumbua Hewani Mpaka Najiuliza Hiyo Form Six Anayosoma Anapata Wapi Muda Wa Kuwa Na Simu Muda Wote?
Wadau Hasa Wataalam Wa Saikolojia Nipeni Ushauri Wenu Nimfanyaje HUYU MTOTO ili Alizike Na Asinitafute Tena Maana sitaki Kumuharibia Future Yake Japo Denti Nae Sio Haba Najua Hapo Tambaza Anakimbiza sana Hata Hao Maticha Wake. Nipeni Ushauri Wakuu...


Ngoja nikupe ushauri mgumu.

Hako katoto kanakutaka kifupi kamepata crash.
Sasa kakatosa the hardwey we mwambie uwa unatumia harama yani only ass.

To me it has been working ila akikubali jua huyo ni janga kimbia mbalii.

Ila kama na wewe unakatamani basi kula burudani tuu unless kama labda upo comited to sm1
 
Nilimpa Lifti Ya Usafiri Asubuhi Moja Hivi Kwa Lengo La Kumuwahisha Skuli Sasa imekuwa " NONGWA " Kwangu Kwani Siku Aliyopanda Gari Langu , Alikuta Business Card Yangu Kwenye Kiti Akaichukua Kwa Siri Na Kuitunza Kwa Begi Yake. Sasa Baada Ya Muda Wa Siku Kadhaa Ameanza Kunisumbua Kuwa Anataka Kuonana na Mimi Kwani Ana Zawadi Yangu Anataka Kunipa.

Mwnzoni Nilimpotezea Lakini Sasa Amekuwa Hasikii Wala Haambiliki Kwani Muda Wote Ananisumbua Hewani Mpaka Najiuliza Hiyo Form Six Anayosoma Anapata Wapi Muda Wa Kuwa Na Simu Muda Wote?
Wadau Hasa Wataalam Wa Saikolojia Nipeni Ushauri Wenu Nimfanyaje HUYU MTOTO ili Alizike Na Asinitafute Tena Maana sitaki Kumuharibia Future Yake Japo Denti Nae Sio Haba Najua Hapo Tambaza Anakimbiza sana Hata Hao Maticha Wake. Nipeni Ushauri Wakuu...

Waswahili wanasema, "Ukitaka kumuua nyani usimwangalie usoni."
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom