Hiyo sio insha
Mtoa mada vile vile ni kilaza, hii mada nayo ni 2/40!!!Hiyo sio insha
Nimekumisi mpenzi....:embarrassed::embarrassed:
Nimekumiss pia switie😛🙄
Naona wewe na huyo mwanafunxi mmefika mwisho wa lami!We ndio kilaza...solution ya moto ni nini
Naona wewe na huyo mwanafunxi mmefika mwisho wa lami!
Insha ni etrapolation ya mental imagination, mmeshindwa ku imagine, actually mtoa mada lazima upate 0/40 kwa kutoelewa hilo?
You'll never make a hero kwa kutetea failures!Sasa mental imagination yako ndo unataka iwe yake sio..
You'll never make a hero kwa kutetea failures!
Mkuu mitihani siyo sympathy, simfahamu huyo unayemtetea , lakini kama mwalimu wake alivyo comment kwenye paper, ameshindwa kwa vile aidha hajui swali au hajui kujibu.Failures sio... huyo mwanafunzi ni Genius kwa taarifa yako, no blahblah kama siasa za majani mapana,hujiulizagi kwa nini ma-genius wengi walifeli darasani au hata kuacha shule? No kwa sabab ya walimu wenye akili kama yako
Mkuu mitihani siyo sympathy, simfahamu huyo unayemtetea , lakini kama mwalimu wake alivyo comment kwenye paper, ameshindwa kwa vile aidha hajui swali au hajui kujibu.
Na hilo hslisemeheki, HE HAS FAILED, full stop.