huyu mume wangu vipi?

huyu mume wangu vipi?

kamshtakie kwa kaka yake.tena ukiwa umevaa kimini au skin jeans,ukifika tu anza kulia huku umemkumbatia,ikiwezekana usiwe umevaa sidiria
 
sasa si angeacha ile ile moja ila awe anatuwekea UPDATES tu kwa kila linaloendelea
Labda anahisi kuweka sredi nyingi zitampunguzia stress maana mara ya kwanza kasema mume wake anatembea na dada yake,ya pili mume wake kampa kichapo kwa hiyo anawalaani wanaume wote kwa ukatili
 
leo hii nimeanzisha thread ya jinsi mume wangu anavyonitenda,sasa amenipiga mangumi na mateke eti ninamboa,nahisi naye ni member wa humu jf]

Kama bado unampenda tafuta darasa la Karate au Kung fu ujiunge mara mooja!
 
mmmh hana tofauti na yule wa jana aliyekuwa anatus wanawake nasikia kalimwa ban
Labda anahisi kuweka sredi nyingi zitampunguzia stress maana mara ya kwanza kasema mume wake anatembea na dada yake,ya pili mume wake kampa kichapo kwa hiyo anawalaani wanaume wote kwa ukatili
 
mmmh hana tofauti na yule wa jana aliyekuwa anatus wanawake nasikia kalimwa ban
Bora kapigwa Ban wengine wakisha kasirishwa huko wanataka watujumuishe kwenye ugomvi wao,huyu atakuwa alinaswa kibao tu,angepigo heavy angekumbuka hata kibodi ilipo
 
Bora kapigwa Ban wengine wakisha kasirishwa huko wanataka watujumuishe kwenye ugomvi wao,huyu atakuwa alinaswa kibao tu,angepigo heavy angekumbuka hata kibodi ilipo
umestukia eeeh? anatufanya watotooo
 
umestukia eeeh? anatufanya watotooo
Eti mume wake anatembea na dada yake wa kuzaliwa ambaye ni wifi yake hiyo inaingia akilini kweli? ameshindwa kuawaambia ndugu na wazazi wa mumewe au ameamua kumchafua tu hubby wake kwakuwa amemuudhi? ndoa hizi majanga aisee no privacy
 
leo hii nimeanzisha thread ya jinsi mume wangu anavyonitenda,sasa amenipiga mangumi na mateke eti ninamboa,nahisi naye ni member wa humu jf]

R.I.P Fatmata,,KWA POST YAKO YA MWISHO...LAZIMA AKUPUMZISHE KWA AMANI SAFARI HII..
 
dada kila tukio utaliwekea thread yake?
leo hii nimeanzisha thread
ya jinsi mume wangu anavyonitenda,sasa amenipiga mangumi na mateke eti
ninamboa,nahisi naye ni member wa humu jf]
 
Kama wewe ni Mkristo chukua biblia yako fungua Zaburi ya 51 soma yote na then 23 ukimaliza piga magoti sehemu ambayo uko peke yako ongea na Mungu mkumbushe ahadi zake kuhusu ndoa uku ukisema baadhi ya maneno kwenye biblia kama'alichokiunganisha Mungu...'Na kadhalka kwa siku tatu.Kama sio mkristo naomba samahani usinirarue kwa maneno.

nitakupa like baadae
 
Weee ni punching bag?????

Kama ana nguvu si ashike jemve akalime???

Na wewe umetakalisha tu hapo unamng'ang'ania hadi akurestishe?
 
leo hii nimeanzisha thread ya jinsi mume wangu anavyonitenda,sasa amenipiga mangumi na mateke eti ninamboa,nahisi naye ni member wa humu jf]

tenamwambie aache ujingawake kajua hum ataelezwahata kama hafahamik milion 30 ndozakumfanya awe kama boya la zw tanganyika tena aendelee nalana yake mwenye akil hatembei na dadake na ww mpaka ankupa mangum umekaatu AU -NAWEWE NI LAKUCHUMPA LA....
 
kesho atakupiga danadana...!

hizi ndoa za dotcom zina kazi ngumu kweli!

si mume, si mke, wote majanga!
 
Back
Top Bottom