leo hii nimeanzisha thread ya jinsi mume wangu anavyonitenda,sasa amenipiga mangumi na mateke eti ninamboa,nahisi naye ni member wa humu jf]
JF sio jukwaa la kupost status ya ndoa yako kila dakika...khaaa!!!
leo hii nimeanzisha thread ya jinsi mume wangu anavyonitenda,sasa amenipiga mangumi na mateke eti ninamboa,nahisi naye ni member wa humu jf]
Naona kuna matumizi mabaya ya jukwaa maana amepost toka mchana kila linaloendelea kwakeJF sio jukwaa la kupost status ya ndoa yako kila dakika...khaaa!!!
Hii ni nyingine ya mwanzo ameandika wanaume ni wakatili hawamuogopi Munguhv hii ni nyngne kumbe aahahaaaaa
amegeuza jf fbNaona kuna matumizi mabaya ya jukwaa maana amepost toka mchana kila linaloendelea kwake
hahah yaani ww ndo umemaliza kabisaaBora wewe umeongea ukweli Fatmata anatafuta boyfriend sema ile kufunguka ndio tabu.
Si ndo hapo sasa....amegeuza jf fb