tena hili wala sio changa ni kokoto la machoChanga la macho hilo dada kaa chonjo
Sasa mmewezaje kuishi miaka minne bila kujuliana familia zenu?we huogopi unaweza kuwa unaishi na jini?... Duh! Maajabu
binadamu tupo tofauti...
unapoongea na ndugu zake kwenye simu,kwa nini usiwaalike waje uwatambue?
wewe nani kakuzuia kuleta ndugu zako awaone???????
wapo watu wengi hawapendi harusi.........
sio wote wanaoitwa mke na mume walifunga ndoa rasmi ya kanisa au msikiti....
kwa ufupi nyinyi ni tayari mke na mume....
Kumbe una akili namna hii wewe kweli ni The Boss.
Point sana umeongea aisee
dena upo?
nilijua utasoma ndo maana nikajaza pointi...
sasa iliyobaki ni kuleta posa kwenu lol
nashindwa nimwite nani, ila nibwana tumezaa watoto 2,tunaishi pamoja mwaka wa 4 sasa. sikujui kwao hakujui kwetu naongea tu na ndugu zake kwenye simu, lini tutafunga ndoa anadai akipata hela wakati huo anmshahara takehome zaidi ya laki 8,nami pia ninamshahara wanguzaidi ya laki 4. zaidi kila kukicha lazima awasiliane na dada mmoja mwazo alidai dada wa rafiki yake nilipombana akadai ni x-girlfriend wake.nikimwambia naondoka anajifanya hanielewi hataki ni ondoke.mpaka najihisi kuchanganyikiwa rafiki ndugu hawatuelewi.
Kumbe una akili namna hii wewe kweli ni The Boss.
Point sana umeongea aisee
Ooh DA ulikua hujajua si the boss tu, bali mtaani anaitwa mzee wa wa busara?
nashindwa nimwite nani, ila nibwana tumezaa watoto 2,tunaishi pamoja mwaka wa 4 sasa. sikujui kwao hakujui kwetu naongea tu na ndugu zake kwenye simu, lini tutafunga ndoa anadai akipata hela wakati huo anmshahara takehome zaidi ya laki 8,nami pia ninamshahara wanguzaidi ya laki 4. zaidi kila kukicha lazima awasiliane na dada mmoja mwazo alidai dada wa rafiki yake nilipombana akadai ni x-girlfriend wake.nikimwambia naondoka anajifanya hanielewi hataki ni ondoke.mpaka najihisi kuchanganyikiwa rafiki ndugu hawatuelewi.