Huyu mtu huenda hana mpango wa kugombea mwaka 2020

Huyu mtu huenda hana mpango wa kugombea mwaka 2020

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,646
Reaction score
164,798
Nikitazama mwenendo wa huyu mtu na nikikumbuka kauli yake ya siku za nyuma juu ya kujutia nafasi alioyanayo,naanza kupata hisia huenda 2020 hana mpango wa kugombe tena bali hii ni siri yake kwa sasa ila wakati ukifika atasema na kuwashangaza wengi.

Kauli,mwenendo na matendo yake havionyeshi kama anahitaji tena kura za watu na ni wazi sasa anaona watu hawa ni mzigo kwake na pengine hana hamu nao kabisa ila anasahau kuwa sera na maamuzi yake navyo vimechangia sana hali hii kutokea.

Tusubiri muda ndio msema kweli.
 
Uongozi una sifa mbili azijuazo mtu nafisini kwake

1.apige hela halafu aachane na uongozi
2.aamue awatumikie wananchi kwa dhati.

Kwa hiyo kati ya hayo utaangalia ni lipi.!?
 
Bora uwe unpopular president kuliko kuwafurahisha wapiga deal wachache wanaolialia sasa kwenye mitandao- Mungu akupe maisha marefu na azidi kukuongezea hekima Mh. Raisi wetu JPM.
 
Ukifatulia marais wengi hasa Africa utagundua kuwa huanza kuonekana
 
Back
Top Bottom