Huyu mtoto anaiga kutoka wapi?

Huyu mtoto anaiga kutoka wapi?

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
ImageUploadedByJamiiForums1404723051.247065.jpg
 
Daaanh yaani kilio chake kitatulizwa na zimamoto!!!!
 
Dogo baba ake atakuwa ni fundi umeme alimuona baba ake akimenya waya
 
Safi sana dogo. Anajua hio kitu haitumii kwa muda huu ndio maana hataki bughudha.
 
Awahiwe jamani anaondoa kitu cha muhimu sana katika maisha yake ni bora hata akate mguu.
 
Awahiwe jamani anaondoa kitu cha muhimu sana katika maisha yake ni bora hata akate mguu.

Kwikwikwi...mkuu umenivunja mbavu
Dogo anachezea ingini!
 
kwa shamba boy alimuona ukikata fensi ya michongoma tehe tehe tehe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom