Huyu mtoto ana kipaji

Huyu mtoto ana kipaji

Serikali ni pamoja na sisi raia tusiishie kulalamika jamani humu kuna wahasibu, wahandisi watu wataaluma chungu mzima sisi binafsi tumeshindwa kuwasaidia vijana wa aina hii??
 
Hebu tulinganishe huyu na yule aliyekuwa UN akaongea na ma_rais kadhaa wa dunia, yupi mwenye uwezo?
 
View attachment 343600View attachment 343601View attachment 343602wadau oneni uwezo wa huyu kijana,kuna haja ya mitaala ya elimu africa kupitiwa upya ili watoto wanaonesha uwezo kama huyu kupewa mafunzo maalum ili waje kuzisaidia nchi zao baadae...

Mbona hilo wazo lako Kikwete alishaliona zamani na kuna chuo cha vijana wenye vipaji maalum vya sayansi pale Bagamoyo, hao vijana ni kutoka Afrika nzima. Kuna vijana kama 50 pale na walimu ambao ni magwiji wa sayansi kutoka kila pembe ya dunia wanawasimamia.
 
Mbona hilo wazo lako Kikwete alishaliona zamani na kuna chuo cha vijana wenye vipaji maalum vya sayansi pale Bagamoyo, hao vijana ni kutoka Afrika nzima. Kuna vijana kama 50 pale na walimu ambao ni magwiji wa sayansi kutoka kila pembe ya dunia wanawasimamia.

Hii ni habari njema. Sema sasa local governments zifanye kazi ya kuwatambua hawa watoto wa namna hii na kuwapeleka huko. Zamani wengi wetu tutakumbuka sehemu nyingi huko vijijini watoto walikuwa wana magari ya mbao au miti ambayo yalikuwa na uwezo hadi wa kubeba mizigo kama majani ya ng'ombe. Sema tu kipindi kile tulikuwa na changamoto nyingi kama mawasiliano duni. Ila kwa sasa tuna mifumo mizuri ya habari; then watu katika serikali za mkoa na wilaya hadi vijiji wachakarike kukuza na kutangaza hivi vipaji.
 
ukimpa vifaa real anachemka, kwan wagunduz lazima waanze hv
 
Hebu tulinganishe huyu na yule aliyekuwa UN akaongea na ma_rais kadhaa wa dunia, yupi mwenye uwezo?

Sidhani kama ni sawa kuwalinganisha coz haitakusaidia kitu na wao pia haitawasaidia chochote
 
Tungeelezwa yuko wapi na anatumia nini kutengeneza. Hii stori inaweza kuwa imechomolewa hata Gabon huko sisi tunapoteza nguvu kushangilia hapa
 
Sidhani kama ni sawa kuwalinganisha coz haitakusaidia kitu na wao pia haitawasaidia chochote
Kwa mtizamo wako na ukingo wa akili yako umeishia hapo ndio maana unaona hakuna faida yoyote, ila faida zipo hamsha akili utaziona!.
 
Mbona hilo wazo lako Kikwete alishaliona zamani na kuna chuo cha vijana wenye vipaji maalum vya sayansi pale Bagamoyo, hao vijana ni kutoka Afrika nzima. Kuna vijana kama 50 pale na walimu ambao ni magwiji wa sayansi kutoka kila pembe ya dunia wanawasimamia.
ah!! Bagamoyo sehemu gani hicho chuo kipo?
 
Mbona hilo wazo lako Kikwete alishaliona zamani na kuna chuo cha vijana wenye vipaji maalum vya sayansi pale Bagamoyo, hao vijana ni kutoka Afrika nzima. Kuna vijana kama 50 pale na walimu ambao ni magwiji wa sayansi kutoka kila pembe ya dunia wanawasimamia.


Sipingi wazo hili ingawa sijaona kama hicho chuo peke yake kitatosha katika kuwakuza watoto wa kitanzania kwenye mfumo wa kuvijua vipaji vyao na kuviendeleza...
Mfumo wetu wa elimu ni mbovu kwa ujumla kwa kuwa huishia katika madaftari na kumkuza mtu katika njia ya kutafuta ajira tu...

Fikra pevu, vipaji endelevu , wasomi wenye kujiamini na wanamaendeleo wataletwa kwa mfumo mpya wa elimu..

Vijana wengi wana vipaji na tena zaidi ya huyu lakini wamekwisha kukatishwa tamaa..

TUWEKE USHABIKI PEMBENI PALE LIJAPO SUALA LA UTAIFA WETU ....
 
Sipingi wazo hili ingawa sijaona kama hicho chuo peke yake kitatosha katika kuwakuza watoto wa kitanzania kwenye mfumo wa kuvijua vipaji vyao na kuviendeleza...
Mfumo wetu wa elimu ni mbovu kwa ujumla kwa kuwa huishia katika madaftari na kumkuza mtu katika njia ya kutafuta ajira tu...

Fikra pevu, vipaji endelevu , wasomi wenye kujiamini na wanamaendeleo wataletwa kwa mfumo mpya wa elimu..

Vijana wengi wana vipaji na tena zaidi ya huyu lakini wamekwisha kukatishwa tamaa..

TUWEKE USHABIKI PEMBENI PALE LIJAPO SUALA LA UTAIFA WETU ....

Nnaamini 95% ya shule zetu zinafundisha ujinga.

JF ni ushahidi kamili, tazama commentary za watu wengi sana ni matatizo hata kujuwa neno lipi la R na lipi la L tena kwa lugha ya taifa.
 
Well done dogo! Nakukubali sana tatizo umezaliwa Afrika na tunasumbuliwa na majibu
 
....ila serikal ya hapa ndo unaweza ht jela kwa uvumbuzi

Mkuu umenikumbusha muvi moja (based on true story) inaitwa catch me if you can ya bwana Leonardo DeCaprio... Alikuwa anatengeneza cheque fake alipokuja kudakwa ashakula kama 4M $ na FBI wakamchukua then baadae akasaidia kudesign cheque ambazo zinatumika hadi leo na more than 500 companies...
OLE WAKE ANGEKUWA TANZANIA...
 
Amin amin nawaambia TZ inao wari wenye ugunduzi. Shida mitaala na mfumo wa Elimu ulio butu
 
Back
Top Bottom