Huyu mtoto ana kipaji

Huyu mtoto ana kipaji

cognition

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2015
Posts
1,288
Reaction score
1,393
uploadfromtaptalk1461952250196.jpg
uploadfromtaptalk1461952261659.jpg
uploadfromtaptalk1461952268765.jpg
wadau oneni uwezo wa huyu kijana,kuna haja ya mitaala ya elimu africa kupitiwa upya ili watoto wanaonesha uwezo kama huyu kupewa mafunzo maalum ili waje kuzisaidia nchi zao baadae...
 
Nchi hii ya kinapangu pakavu hawaoni inayoisibu nchi kazi kutuletea division 5 wanatoa elimu ya kukremu...vitu instead kuwafunza vijana kuja kuwa mainterpreneur huyo watamchangamkia majirani zetu soon utasikia katoka Kenya...
Kenya hoyeee' hawa jamaa ni hatar wanacheza na timing
 
Hiii serikali yetu hapo kesho tu hawatakuwepo wataambiwa hawatakiwi kuwa kwenye hill eneo, na mambo watavunjilia mbali hizi Sana'a zao
 
Daahh hadi nimemuhurumia asee anaonekana katoka ktk familia fukara.daahh hawa ndo kina einsten au newton ila serikal ya hapa ndo unaweza ht jela kwa uvumbuzi
 
Very nice.....

Kipaji kinatakiwa kuendelezwa, ila swali la kujiuliza ni nani atakiendeleza?
 
Back
Top Bottom