huyu mpenzi wangu simuelewi

huyu mpenzi wangu simuelewi

Sasa imenibidi nicheke tu....
Wakuu wanakupa ushauri na kukupa picha halafu wewe unakazia kuwa "namhudumia kama mke MTALAJIWA", ngoja na sisi tukae kimya kama wanakamati WATALAJIWA wa harusi yako na maumivu ya moyo (a.k.a mke MTALAJIWA) wa maisha!!
Haaa haaaa aisee umenichekesha sana
 
Huyo si wako, tafuta mwingine,Unampa salio lakini hata kwa SMS hakukumbuki?!!
nimeshindwa kimuelewa ni mud a mrefu kama mwaka sasa nimekuwa nae lakini saizi simuelewi hivi najiuliza labda kwa sababu ya umbali inanipain sana kwa kweli , kila muda nafikiria kosa langu liko wapi kwanin yuko tofauti
 
vitu vingine sio vya kuomba ushauri......endelea kumtumia pesa na vocha mi najisevia kwa kutumia condom niko huku Mbeya mimi niko naye
 
Unahudumia afu huko mbeya kuna jamaa linampanda tu, kama linapanda daladala
 
mkuu huwa kuonyesha upendo kwake na kumsaidia pesa za mahitaji madogomadogo kama mpenzi Wang lakin haonyeshi upendo kwangu
mkuu wewe hapo umeshajua kabisa kama huyu mtu hakupend sema tu anapretend tu labda ili azid kupata support unayompa kiuchumi sasa mimi shida nayoiona kwako nji moja ni kwamba unashndwa kuukubali ukweli..hapo ndo tatizo lilipo bro
 
Ongeza dau Mkuu za hizo unazomtumia utaona ataanza kushukuru hadi utashangaa.

wakuu habari zenu Nina mpenzi Wang Mimi niko Tanga yeye yuko mbeya ila simuelewi nimekuwa nikimuhudumia kama mke Wang mtalajiwa mahitaji kama fedha za matumizi madogo madogo lakini nikimtumia huwa anakaa kimya mpaka nimuulize ndo huwa anashukuru , nikimtumia vocha huwa hajawai nipigia zaidi ya sms tu nayo mpaka nimtext wakuu msaada Wa mawazo na ushauri anaweza kuwa wife material kwel
 
Mgaa gaa na upwa hali wali mkavu!!!!so wapo wanaofurukuta naye huko.
 
wakuu habari zenu Nina mpenzi Wang Mimi niko Tanga yeye yuko mbeya ila simuelewi nimekuwa nikimuhudumia kama mke Wang mtalajiwa mahitaji kama fedha za matumizi madogo madogo lakini nikimtumia huwa anakaa kimya mpaka nimuulize ndo huwa anashukuru , nikimtumia vocha huwa hajawai nipigia zaidi ya sms tu nayo mpaka nimtext wakuu msaada Wa mawazo na ushauri anaweza kuwa wife material kwel
Afu mi nko mbeya embu nipe namba yake nimcheki
 
Mimi nakushauri uanze kumsomesha, au ashamaliza shule?
We jamaa hata kama humpendi mshikaji kuwa kibinadamu basi..., Anyways huwa hajibu labda kwasababu ya network inakuwa inasumbua sana hasa siku hizi.
 
Back
Top Bottom