ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,885
- 42,001
Kwa kweli na zimwi likujualo halikuli likakwisha kazi kwakoUnadhan wahenga waliugua dengue waliposema fimbo ya mbal haiui nyoka
Kwa kweli na zimwi likujualo halikuli likakwisha kazi kwakoUnadhan wahenga waliugua dengue waliposema fimbo ya mbal haiui nyoka
Basi sawa endelea kuhudumia usilielie humu sasaMimi namuhudumia kama mke Wang mtalajiwa ana mahitaji madogo madogo lazima nimsaidie
ndio namuhudumia kama mke Wang mtalajiwaha ha ha na wewe bado unaendelea kumtumia
Haya kuhudumia kwemandio namuhudumia kama mke Wang mtalajiwa
basi acha kulalamika kama unajua kuhudumia ni wajibu wako... na kama ni tatzo go and face herndio namuhudumia kama mke Wang mtalajiwa
Nitumie Namba yake Nimuulize Kama anafaa kuwa wife materialwakuu habari zenu Nina mpenzi Wang Mimi niko Tanga yeye yuko mbeya ila simuelewi nimekuwa nikimuhudumia kama mke Wang mtalajiwa mahitaji kama fedha za matumizi madogo madogo lakini nikimtumia huwa anakaa kimya mpaka nimuulize ndo huwa anashukuru , nikimtumia vocha huwa hajawai nipigia zaidi ya sms tu nayo mpaka nimtext wakuu msaada Wa mawazo na ushauri anaweza kuwa wife material kwel
Sasa imenibidi nicheke tu....
Wakuu wanakupa ushauri na kukupa picha halafu wewe unakazia kuwa "namhudumia kama mke MTALAJIWA", ngoja na sisi tukae kimya kama wanakamati WATALAJIWA wa harusi yako na maumivu ya moyo (a.k.a mke MTALAJIWA) wa maisha!!
mi nimejibu kama walivyoniuliza Leo itakuwa mwisho kuhudumiaSasa imenibidi nicheke tu....
Wakuu wanakupa ushauri na kukupa picha halafu wewe unakazia kuwa "namhudumia kama mke MTALAJIWA", ngoja na sisi tukae kimya kama wanakamati WATALAJIWA wa harusi yako na maumivu ya moyo (a.k.a mke MTALAJIWA) wa maisha!!
Well said mkuu sina cha kuongezeaMkuu demu anayekupenda kwa dhati hata ukim-beep anashukuru sana. Sasa huyo unaye mtumia mpk mshiko anauchuna, ww unaomba ushauri?
kweli nimehaminiFimbo ya mbal haiuwi nyoka