huyu mpenzi wangu simuelewi

huyu mpenzi wangu simuelewi

Sasa imenibidi nicheke tu....
Wakuu wanakupa ushauri na kukupa picha halafu wewe unakazia kuwa "namhudumia kama mke MTALAJIWA", ngoja na sisi tukae kimya kama wanakamati WATALAJIWA wa harusi yako na maumivu ya moyo (a.k.a mke MTALAJIWA) wa maisha!!
 
wakuu habari zenu Nina mpenzi Wang Mimi niko Tanga yeye yuko mbeya ila simuelewi nimekuwa nikimuhudumia kama mke Wang mtalajiwa mahitaji kama fedha za matumizi madogo madogo lakini nikimtumia huwa anakaa kimya mpaka nimuulize ndo huwa anashukuru , nikimtumia vocha huwa hajawai nipigia zaidi ya sms tu nayo mpaka nimtext wakuu msaada Wa mawazo na ushauri anaweza kuwa wife material kwel
Nitumie Namba yake Nimuulize Kama anafaa kuwa wife material
 
Sasa imenibidi nicheke tu....
Wakuu wanakupa ushauri na kukupa picha halafu wewe unakazia kuwa "namhudumia kama mke MTALAJIWA", ngoja na sisi tukae kimya kama wanakamati WATALAJIWA wa harusi yako na maumivu ya moyo (a.k.a mke MTALAJIWA) wa maisha!!
Sasa imenibidi nicheke tu....
Wakuu wanakupa ushauri na kukupa picha halafu wewe unakazia kuwa "namhudumia kama mke MTALAJIWA", ngoja na sisi tukae kimya kama wanakamati WATALAJIWA wa harusi yako na maumivu ya moyo (a.k.a mke MTALAJIWA) wa maisha!!
mi nimejibu kama walivyoniuliza Leo itakuwa mwisho kuhudumia
 
Kaka jikaze achana nae huyo dem hakupendi yupo na wewe ili awe anapatapata misaada unayompatia atakupa maneno mazuri ujue ni mke kumbe hamna kitu.Huko aliko kuna jamaa anagegeda kila siku.Ukipuuzia huu ushauri wangu utakuja kunikumbuka mbekeni.
 
Le Gadem Bwegez U kno.


0b6c21557eaf0b581b3c36a2c3bede10.jpg



0b6c21557eaf0b581b3c36a2c3bede10.jpg
 
Brother unaibiwa fedha zako, muda na hisia pia, sasa kazi kwako!!
 
Sa kaka ukiacha kuhudumia unazan me izo vocha na pesa ntapata wap??... maisha kusaidiana we mpe tu anpe na mm..
 
Huyo si wako, tafuta mwingine,Unampa salio lakini hata kwa SMS hakukumbuki?!!
 
Back
Top Bottom