huyu mpenzi wangu simuelewi

huyu mpenzi wangu simuelewi

CUBICBOY

JF-Expert Member
Joined
Oct 29, 2012
Posts
323
Reaction score
258
wakuu habari zenu Nina mpenzi Wang Mimi niko Tanga yeye yuko mbeya ila simuelewi nimekuwa nikimuhudumia kama mke Wang mtalajiwa mahitaji kama fedha za matumizi madogo madogo lakini nikimtumia huwa anakaa kimya mpaka nimuulize ndo huwa anashukuru , nikimtumia vocha huwa hajawai nipigia zaidi ya sms tu nayo mpaka nimtext wakuu msaada Wa mawazo na ushauri anaweza kuwa wife material kwel
 
wakuu habari zenu Nina mpenzi Wang Mimi niko Tanga yeye yuko mbeya ila simuelewi nimekuwa nikimuhudumia kama mke Wang mtalajiwa mahitaji kama fedha za matumizi madogo madogo lakini nikimtumia huwa anakaa kimya mpaka nimuulize ndo huwa anashukuru , nikimtumia vocha huwa hajawai nipigia zaidi ya sms tu nayo mpaka nimtext wakuu msaada Wa mawazo na ushauri anaweza kuwa wife material kwel
Mimi nakushauri uanze kumsomesha, au ashamaliza shule?
 
ungetuma na picha yake ndo tunge kushauri vizuri
 
Anakuomba umtumie au unajipendekeza kutuma yawezekana hapendi umtumie ila ww unakomalia tu
 
wakuu habari zenu Nina mpenzi Wang Mimi niko Tanga yeye yuko mbeya ila simuelewi nimekuwa nikimuhudumia kama mke Wang mtalajiwa mahitaji kama fedha za matumizi madogo madogo lakini nikimtumia huwa anakaa kimya mpaka nimuulize ndo huwa anashukuru , nikimtumia vocha huwa hajawai nipigia zaidi ya sms tu nayo mpaka nimtext wakuu msaada Wa mawazo na ushauri anaweza kuwa wife material kwel

ssa wewe nae unashangaza kweli...wewe mwanamke anakuomba vocha, unategemea tena akupigie wewe simu. kama angetaka kuongea na wewe sii angekwambiaumpigie tuu. vocha hiyo ni ili aongee na wanaume wengine bwana.
alafu acha ubwege bwana wewe ulionaga wapi mapenzi ya mbali...hapo ni kudangayana tuu
 
Wenzako tunahudumia wake wewe unamhudumia demu! Kweli Duniani hatufanani.
Mimi namuhudumia kama mke Wang mtalajiwa ana mahitaji madogo madogo lazima nimsaidie
 
Back
Top Bottom